Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maofisa wa CAG watishiwa kifo

SAKATA la ubadhirifu wa bilioni 40 katika halmashauri ya jiji la Mwanza limechukua sura mpya baada ya maofisa wa ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) walioibua sakata hilo kudai kutishiwa maisha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

CAG AWAWEKA MATATANI MAOFISA HALMASHAURI

  KATIBU Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Jumanne Sagini, ameutaka uongozi wa Halmashuari ya Wilaya ya Itilima mkoani humo kuwachukulia hatua za kisheria watu wote waliosababisha uwepo wa hoja 36 katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Sagini alisema katika hoja hizo, wapo watumishi wa halmashuari hiyo ambao walishindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo, ambao ametaka watafutwe na wachukuliwe hatua kila mmoja kulingana na hoja yake.

Alitoa maagizo hayo jana wakati wa kikao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA watishiwa

KUNDI la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalowashirikisha wanasiasa wa vyama vya upinzani, maarufu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), limekuwa mwiba mkali kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachama Deci watishiwa

BAADHI ya wanachama wa taasisi ya kupanda na kuvuna mbegu, Development Entrepreneurship Community Initiative (Deci), wanatishiwa kukamatwa na vyombo vya dola pindi wanapodadisi kuhusu kurejeshewa fedha zao ambazo mahakama iliagiza...

 

10 years ago

Mwananchi

Wajumbe wa Bunge watishiwa maisha

>Siku tatu kabla ya Bunge la Katiba kuanza kupigia kura Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, watu wasiojulikana wameanza kusambaza vitisho vya kuwatia hofu wajumbe wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliopanda mbegu Deci watishiwa kukamatwa

WANACHAMA wa Taasisi ya Development Entrepreneurship Community Initiative (Deci), wanatishiwa kukamatwa na vyombo vya dola pindi wanapodadisi kuhusu kurejeshewa fedha zao. Deci ni taasisi iliyojipatia umaarufu jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Vijimambo

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba Watishiwa Maisha

Siku tatu kabla ya Bunge la Katiba kuanza kupigia kura Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, watu wasiojulikana wameanza kusambaza vitisho vya kuwatia hofu wajumbe wa Bunge hilo.Watu hao wamesambaza vipeperushi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Dodoma usiku wa kuamkia jana, wakiwataka wajumbe kutoingia bungeni vinginevyo yatakayowapata watajuta, huku wajumbe kutoka Zanzibar wakitishiwa kwa ujumbe wa simu kupitia mtandao wa WhatsApp.
Kunani Jamani Tanzania Tunaelekea Wapi?

 

9 years ago

Dewji Blog

Wimbo wa ‘VIVA ROMA VIVA’ wa Roma Mkatoliki watishiwa kufungiwa nchini

roma-new-picRoma Mkatoli

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Dar es Salaam)- Ndani ya masaa 24 baada ya kuachiwa kwa kibao kipya cha Msanii  maarufu wa Bongo fleva nchini, Roma Mkatoliki  ‘Roma Tongwe’ wimbo wa Viva Roma Viva’,  tayari msanii huyo ametishiwa na kuonywa vikali na mamlaka husika kwa madai kuwa wataufungia.

Modewjiblog  iliweza kushuhudia posti ya msanii huyo iliyonukuliwa kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo ile ya twitter na Instagram, facebook na Whatsapp,  kwa kile kilichoelezwa na msanii...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

11 years ago

Habarileo

Maofisa uvuvi watimuliwa

MAOFISA uvuvi watatu wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, wamefukuzwa kazi kwa madai ya kughushi vitabu vya leseni na kujipatia fedha kinyume cha sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani