Maofisa wa CAG watishiwa kifo
SAKATA la ubadhirifu wa bilioni 40 katika halmashauri ya jiji la Mwanza limechukua sura mpya baada ya maofisa wa ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) walioibua sakata hilo kudai kutishiwa maisha.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hOTpEjISVVs/XtNmA2Vph8I/AAAAAAABB_Y/ZojQdAoZCS4nEUal5DDQiTn3Pc2HiLvNQCNcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
CAG AWAWEKA MATATANI MAOFISA HALMASHAURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-hOTpEjISVVs/XtNmA2Vph8I/AAAAAAABB_Y/ZojQdAoZCS4nEUal5DDQiTn3Pc2HiLvNQCNcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Sagini alisema katika hoja hizo, wapo watumishi wa halmashuari hiyo ambao walishindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo, ambao ametaka watafutwe na wachukuliwe hatua kila mmoja kulingana na hoja yake.
Alitoa maagizo hayo jana wakati wa kikao...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
UKAWA watishiwa
KUNDI la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalowashirikisha wanasiasa wa vyama vya upinzani, maarufu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), limekuwa mwiba mkali kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Wanachama Deci watishiwa
BAADHI ya wanachama wa taasisi ya kupanda na kuvuna mbegu, Development Entrepreneurship Community Initiative (Deci), wanatishiwa kukamatwa na vyombo vya dola pindi wanapodadisi kuhusu kurejeshewa fedha zao ambazo mahakama iliagiza...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Wajumbe wa Bunge watishiwa maisha
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Waliopanda mbegu Deci watishiwa kukamatwa
WANACHAMA wa Taasisi ya Development Entrepreneurship Community Initiative (Deci), wanatishiwa kukamatwa na vyombo vya dola pindi wanapodadisi kuhusu kurejeshewa fedha zao. Deci ni taasisi iliyojipatia umaarufu jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-H24T2Zcu0r8/VCWshOkKfHI/AAAAAAAAhtk/YB4eAtOAMuA/s72-c/bunge%2B(2).jpg)
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba Watishiwa Maisha
![](http://1.bp.blogspot.com/-H24T2Zcu0r8/VCWshOkKfHI/AAAAAAAAhtk/YB4eAtOAMuA/s640/bunge%2B(2).jpg)
Kunani Jamani Tanzania Tunaelekea Wapi?
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wimbo wa ‘VIVA ROMA VIVA’ wa Roma Mkatoliki watishiwa kufungiwa nchini
Roma Mkatoli
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam)- Ndani ya masaa 24 baada ya kuachiwa kwa kibao kipya cha Msanii maarufu wa Bongo fleva nchini, Roma Mkatoliki ‘Roma Tongwe’ wimbo wa Viva Roma Viva’, tayari msanii huyo ametishiwa na kuonywa vikali na mamlaka husika kwa madai kuwa wataufungia.
Modewjiblog iliweza kushuhudia posti ya msanii huyo iliyonukuliwa kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo ile ya twitter na Instagram, facebook na Whatsapp, kwa kile kilichoelezwa na msanii...
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
11 years ago
Habarileo08 Aug
Maofisa uvuvi watimuliwa
MAOFISA uvuvi watatu wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, wamefukuzwa kazi kwa madai ya kughushi vitabu vya leseni na kujipatia fedha kinyume cha sheria.