Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maofisa uvuvi watimuliwa

MAOFISA uvuvi watatu wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, wamefukuzwa kazi kwa madai ya kughushi vitabu vya leseni na kujipatia fedha kinyume cha sheria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maofisa polisi 120 watimuliwa CCP

Moshi. Maofisa wa Polisi wapatao 120 wa Jeshi la Polisi, waliokuwa wakihudhuria mafunzo ya kupandishwa vyeo katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA), wametimuliwa chuoni hapo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa

Uvuvi usiokuwa endelevu unafanyika katika Ziwa Nyasa na kusababisha samaki adimu waliokuwapo kuendelea kutoweka mwaka hadi mwaka.

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ULEGA AWATAKA MAAFISA UVUVI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA SEKTA YA UVUVI



 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (kulia) akisikiliza hoja na malalamiko kutoka kwa mmoja wadau wa sekta ya uvuvi katika Kijiji cha Kigombe Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga.Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe. Jumaa Aweso ( wa kwanza kutoka kulia) akifuatiwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega wakikagua punda...

 

10 years ago

Habarileo

Waliobebwa Uhamiaji watimuliwa

WATUMISHI 228 wa Idara ya Uhamiaji wa ngazi ya Konstebo na Koplo, walioshinda usaili na kuitwa kazini, wamefukuzwa kazi. Hatua hiyo imetangazwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwakil, baada ya kubainika kuwa baadhi ya watumishi hao, waliajiriwa kwa upendeleo kwa kuwa walikuwa ndugu, jamaa na watoto wa waliowasaili.

 

10 years ago

Habarileo

Waliohujumu Chadema watimuliwa

John MnyikaCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewatimua wanachama wake 42 wakiwemo wagombea walioshindwa kupita kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa hivi karibuni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanadiplomasia watimuliwa Venezuela

Wanadiplomasia wa Panama wamefukuzwa nchini Venezuela wakishutumiwa kutaka kuiangusha Serikali

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 2 wa Cameroon watimuliwa kazi

Viongozi wakuu wawili wa kijeshi nchini Cameroon wametimuliwa kazi baada ya mashambulizi ya kundi la Boko Haram

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi CCM watimuliwa mkutanoni

WANANCHI wa Kata ya Kambasegela wilayani Rungwe mkoani hapa, wamewafukuza viongozi wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM wa kata hiyo walipotaka kufanya mkutano wa hadhara ili kuimarisha chama chao. Akizungumza...

 

10 years ago

Habarileo

Vinara wa maandamano UDOM watimuliwa

WANAFUNZI watatu ambao wanatuhumiwa kuwa vinara wa maandamano ya wanafunzi wa programu maalumu ya walimu wa sayansi Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wameachishwa masomo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani