Waliohujumu Chadema watimuliwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewatimua wanachama wake 42 wakiwemo wagombea walioshindwa kupita kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo04 Nov
Waliohujumu CCM kutimuliwa
WANACHAMA na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliohusika kwa namna moja ama nyingine kukihujumu chama hicho wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu na kukikosesha ushindi katika kata na majimbo kadhaa, wametakiwa kutafuta pa kwenda kabla ya kufukuzwa uanachama.
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Watendaji waliohujumu fedha kukiona
10 years ago
Vijimambo20 Sep
HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1907844_296860830516152_1936768200218849652_n.jpg?oh=3a3c6ce546a7a1c5416e1f3681005be1&oe=54CEAEDE&__gda__=1422949262_1d62cb09b57fa35cca6b5f8edd31248b)
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
Wanadiplomasia watimuliwa Venezuela
11 years ago
Habarileo08 Aug
Maofisa uvuvi watimuliwa
MAOFISA uvuvi watatu wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, wamefukuzwa kazi kwa madai ya kughushi vitabu vya leseni na kujipatia fedha kinyume cha sheria.
10 years ago
Habarileo22 Aug
Waliobebwa Uhamiaji watimuliwa
WATUMISHI 228 wa Idara ya Uhamiaji wa ngazi ya Konstebo na Koplo, walioshinda usaili na kuitwa kazini, wamefukuzwa kazi. Hatua hiyo imetangazwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwakil, baada ya kubainika kuwa baadhi ya watumishi hao, waliajiriwa kwa upendeleo kwa kuwa walikuwa ndugu, jamaa na watoto wa waliowasaili.
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Wanajeshi 2 wa Cameroon watimuliwa kazi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bDmjSM9kXXYXy*UmQTS8Ha4hkkU6BMQEOWOufkS9TC3cpMnU8z4lOHMb*LUjErM7eQGypzyhD4hLpjt8SGsVwoFHYPbTzAF-/al.jpg?width=650)
Al Ahly watimuliwa hoteli ya Yanga SC
10 years ago
Habarileo16 Jan
Vinara wa maandamano UDOM watimuliwa
WANAFUNZI watatu ambao wanatuhumiwa kuwa vinara wa maandamano ya wanafunzi wa programu maalumu ya walimu wa sayansi Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wameachishwa masomo.