Vinara wa maandamano UDOM watimuliwa
WANAFUNZI watatu ambao wanatuhumiwa kuwa vinara wa maandamano ya wanafunzi wa programu maalumu ya walimu wa sayansi Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wameachishwa masomo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jul
MALALAMIKO: Polisi wazima maandamano ya wanafunzi Udom
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s72-c/AC.jpg)
WANAFUNZI 84 WA UDOM WATIWA MBARONI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s640/AC.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-750dCVUUmvQ/VLaS6eTNrgI/AAAAAAACVqg/SME6IEMUVxY/s640/ZC.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5Yk65fSPALw/VLZr9G3wY3I/AAAAAAAG9VA/bRHjh9LRFT0/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WANAFUNZI 84 WA PROGRAMU MAALUMU YA DIPLOMA YA UALIMU UDOM MBARONI KWA TUHUMA ZA KUHAMASIHA MAANDAMANO MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – (SACP) ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa programu maalum ya...
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI - Airtel yazinduzi mnara wa pili UDOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Xo0SpqrF7E/VUKsKXlPpMI/AAAAAAAHUao/Xu0zraAuctc/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSuXIHP3ZuQ/VUKsKVRqL_I/AAAAAAAHUas/6Tq65ZnsvSc/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
10 years ago
Habarileo27 Dec
Waliohujumu Chadema watimuliwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewatimua wanachama wake 42 wakiwemo wagombea walioshindwa kupita kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa hivi karibuni.
11 years ago
Habarileo08 Aug
Maofisa uvuvi watimuliwa
MAOFISA uvuvi watatu wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, wamefukuzwa kazi kwa madai ya kughushi vitabu vya leseni na kujipatia fedha kinyume cha sheria.
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
Wanadiplomasia watimuliwa Venezuela