MALALAMIKO: Polisi wazima maandamano ya wanafunzi Udom
>Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, lililazimika kupiga kambi kwa muda wa saa sita kwenye Jengo la Ofisi ya Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ili kulinda usalama baada ya tetesi za kuwapo maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom)kwenye ofisi hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s72-c/AC.jpg)
WANAFUNZI 84 WA UDOM WATIWA MBARONI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s640/AC.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-750dCVUUmvQ/VLaS6eTNrgI/AAAAAAACVqg/SME6IEMUVxY/s640/ZC.jpg)
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5Yk65fSPALw/VLZr9G3wY3I/AAAAAAAG9VA/bRHjh9LRFT0/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WANAFUNZI 84 WA PROGRAMU MAALUMU YA DIPLOMA YA UALIMU UDOM MBARONI KWA TUHUMA ZA KUHAMASIHA MAANDAMANO MKOANI DODOMA
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – (SACP) ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa programu maalum ya...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – (SACP) ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa programu maalum ya...
10 years ago
Vijimambo20 Jan
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9kO4jIy6c7svrbkT6IoUkMaYPp3JlPpDcHILc9Q6680WLO7d-FpkVdOb*x5pbwFQAkVP6vTjxQiPF1OcjPPORE4/6.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9k1R7IhxQ5UaLt48dnG-HSIdKVK27mSInBu9fNGwARefrolZC*IOZ3Ghc2kOVK2aA9zKuMfLJ5ReQzT0tev0Xca/2.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9mNbigB9grpbqSkM01iTWWfq-tWeqTjgtBRnQZrAT8KXUd7*dJR1R1hN1MkCEPxQrwp9CIdqCMKoEDJvWWz98j4/3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9n5h**PADXXMDIZiZ-I*eJm-5NQ0WJZVa-vS8zQNIDIQakrW-5jbDf8p3hWpzYRisgFRvSe9DwekWMUXpiATQP3/5.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9l5TK5ZAiN*nxCiQieCEVggVKce*cYFj6g1G8eOCOL-6-uMimvDOjtGW5mktTXL*j1CAxJn1KiQr6qMYuljksV7/4.jpg)
JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...
10 years ago
Michuzi20 Jan
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI NAIROBI, KENYA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/J_QoF2jqPYJZpEShjaMjUC_1uwspoqYwf-r60fp3oBOUhdg74byNhO59ESUJ9LAAPMRZ7va8T6GpbZ_qHXA6K7p7wjxnV4iXCEWcEVBVyRccJ-b9cOjInStxsEVka9D53wxH6tkugTZpy-RVWnJHxJ7Pd_rZ_zFtnxYuKcGJxWWGs7ezUhHasHVEaMk1arC5JV65iiBZ9w=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/wDnu36pABCOXVo3bc3zOYrQGCPKjioH1TyODkjOD5E-cPTo1uXrK3_41WRcbzB7xsH8du0UeVwdjMyZ4IFjg6Q-_ADBD182IMqgbormVpi6BSUBJxtOaBaqWArQebE9SIidoklmucbDYQAZAxiGMYFNFrwJEg7I-_TDGzFEIbY1oBOk8iEVb-r_5_4qqeVu6pQfMpuW0Qg=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9kO4jIy6c7svrbkT6IoUkMaYPp3JlPpDcHILc9Q6680WLO7d-FpkVdOb*x5pbwFQAkVP6vTjxQiPF1OcjPPORE4/6.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/h6zdfRfYc5rKROa3QSVQzhf7jgb8dCPPn6a2ZvDS6EB3oxmLkE1i0tCVJwLwHL6LQYmyR9MDacHklwfhQQ8q9eCTlCoY6KRyIcK-eu2soxvv_QsEwUSIXUUChqGMBvjqzKCjO63coysx87c6WpuY0_6uynKQ4YRTb1cUO21CulkiA6-BF5Xcofgh9Xr42LeCBPXJllRqrw=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9k1R7IhxQ5UaLt48dnG-HSIdKVK27mSInBu9fNGwARefrolZC*IOZ3Ghc2kOVK2aA9zKuMfLJ5ReQzT0tev0Xca/2.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/0aJLMyR5m40gq_csPknFQzSo8XI5IJueU7ZmVMEJG2Wcdlw5mJ3FW2vVIFkJOwMra8nP01GhIzdlA4t5pBtrd4eYqwMQeKuWIbueDQZuOTrGPc3OdjSLgFPyPMXZFpPgW-l3Aq3qVGi7WpQLtatQ75u02pzXZrYC_PHfZQz6H5OULAizsabCYArKXtaXYBbJ2GF_6VZhQg=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9mNbigB9grpbqSkM01iTWWfq-tWeqTjgtBRnQZrAT8KXUd7*dJR1R1hN1MkCEPxQrwp9CIdqCMKoEDJvWWz98j4/3.jpg)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/Bb4Yevm0YiuBe0H1kR959vlVdZDO3JU-i6lWhovFeZ5AtOy9CnTHS7fuhC2X99gbiEqA3pOnOtKgbRugYs_DDUZKMa6IWm5_7K93T_MIIcJ5tNia9NytevYrjOXijdcAdgymdK7H6otrKA0YtAvDpzQDtXT7X5kUTR0rqO6UI4mp6CjhNAG007Ruj-zAK95LjZ6rXQzc4Q=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9n5h**PADXXMDIZiZ-I*eJm-5NQ0WJZVa-vS8zQNIDIQakrW-5jbDf8p3hWpzYRisgFRvSe9DwekWMUXpiATQP3/5.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/i8AVL_59KQk5FSSPXlDI6ACYnaIqRdXFIOQUhDvfIp6VkMQvecwDQFi8kB2qxAc4VCKh8g5dnssLIODwf7kC2ssouuwoLhOV3hOKM17_VS-CkbhaY97YQfWNgWlSLfBP8EAkEQls-e_IzI6pb6cWjnCCRUiSIK5491LrXQtxQ-vhGPr3rIouBfPU1q76oxWO4SklZe6v_A=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9l5TK5ZAiN*nxCiQieCEVggVKce*cYFj6g1G8eOCOL-6-uMimvDOjtGW5mktTXL*j1CAxJn1KiQr6qMYuljksV7/4.jpg)
JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyang'anywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI NCHINI KENYA
Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa. Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI - Airtel yazinduzi mnara wa pili UDOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Xo0SpqrF7E/VUKsKXlPpMI/AAAAAAAHUao/Xu0zraAuctc/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSuXIHP3ZuQ/VUKsKVRqL_I/AAAAAAAHUas/6Tq65ZnsvSc/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Habarileo16 Jan
Vinara wa maandamano UDOM watimuliwa
WANAFUNZI watatu ambao wanatuhumiwa kuwa vinara wa maandamano ya wanafunzi wa programu maalumu ya walimu wa sayansi Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wameachishwa masomo.
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Polisi wazima ndoa ya watoto Katavi
Jeshi la Polisi mkoani Katavi limefanikiwa kuzuia kufungwa kwa ndoa iliyohusisha watoto, muolewaji akiwa na umri wa miaka 14 na muoaji ana umri wa miaka 17.
Kwa mujibu wa taarifa, bibi harusi ni mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Mwamkulu iliyopo kijiji cha Senta John Mwamkulu, Wilayani Mpanda, mkoani Katavi, na bwana harusi aliacha shule alipokuwa darasa la tatu. Mwanafunzi huyo (14), (jina linahifadhiwa) siku ya harusi alikuwa afanye mtihani wa wilaya, lakini alikutwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania