Polisi wazima ndoa ya watoto Katavi
Jeshi la Polisi mkoani Katavi limefanikiwa kuzuia kufungwa kwa ndoa iliyohusisha watoto, muolewaji akiwa na umri wa miaka 14 na muoaji ana umri wa miaka 17. Kwa mujibu wa taarifa, bibi harusi ni mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Mwamkulu iliyopo kijiji cha Senta John Mwamkulu, Wilayani Mpanda, mkoani Katavi, na bwana harusi aliacha shule alipokuwa darasa la tatu. Mwanafunzi huyo (14), (jina linahifadhiwa) siku ya harusi alikuwa afanye mtihani wa wilaya, lakini alikutwa...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWATU WAZIMA WASAIDIAPO KUWAVUSHA WATOTO BARABARANI
9 years ago
Habarileo27 Oct
Polisi wazima vurugu za CUF Mji Mkongwe
WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.
11 years ago
Mwananchi11 Jul
MALALAMIKO: Polisi wazima maandamano ya wanafunzi Udom
10 years ago
GPLPOLISI DAR WAZIMA VURUGU KWA MABOMU YA MACHOZI
5 years ago
CCM BlogKATAVI: UBAKAJI WATOTO WA CHINI YA MWAKA HADI MIAKA MINNE UNAHUSISHWA NA IMANI ZA KISHIRIKINA
Akizungumzia matukio hayo Afande Clara Ndamukyana wa kitengo cha Dawati la Jinsia mkoa wa Katavi amesema hali hiyo inasababishwa na waganga wa jadi wanaowadanganya wateja wao
“Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa wanasema waganga waliwaeleza kuwa wakipata mabinti ambao...
10 years ago
MichuziMkuu wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu atembelea mkoa wa Katavi
11 years ago
Michuzi12 Mar
polisi mkoani katavi wakamata mtu akiwa na meno ya tembo na gobole
11 years ago
Michuzi11 years ago
BBCSwahili30 May
Kampeini kukomesha ndoa za watoto Afrika