Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLISI DAR WAZIMA VURUGU KWA MABOMU YA MACHOZI

Polisi jijini Dar es Salaam wamelazimika kufyatua risasi hewani na kupiga mabomu ya machozi kufuatia kuibuka kwa vurugu katika hoteli ya Land Mark ambapo shughuli ya uapishaji wa wenyeviti wa Serikali za Mitaa ulikuwa ukifanyika. Vurugu hizo, zimeibuliwa na kambi ya upinzani ambayo ilikuwa ikilalamikia kuwa Mwenyekiti mmoja wa Chama tawala CCM aliyeapishwa hakuwa ameshinda katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika mwaka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VURUGU KARUME: JESHI LA POLISI LATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUWATAWANYA MACHINGA DAR

Jeshi la Polisi Kanda ya Dar es Salaam jioni hii limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya machinga wanaolazimisha kufanyia biashara eneo la Karume baada ya kukataa kuondoka eneo hilo kwa ustaarabu na kuzua vurugu.  (Picha na Gabriel Ng'osha / Global Whatsapp 0753 715 779)

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI WAFYATUA MABOMU YA MACHOZI UBUNGO KUZUIA VURUGU.

Polisi Jijini Dar es Salaam wamelazimika kufyatua risasi hewani na kufyatua mabomu ya machozi kufuatia kuibuka kwa vurugu katika hoteli ya Land Mark ambapo shughuli ya uapishaji wa wenyeviti wa serikali Mitaazinafanyika. Vurugu hizo, zimeibuliwa na kambi ya upinzani ambayo imelalamikia kuwa Mwenyekiti mmoja wa Chama tawala CCM aliyeapishwa hakuwa ameshinda katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika mwaka jana.

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI MWANZA WATAWANYISHA UKAWA KWA MABOMU YA MACHOZI

Jeshi la polisi jiji Mwanza limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa vyama vinavyounda ukawa ili wasiandamane kwenda uwanja wa ndege wa Mwanza kumpokea mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, anayetarajiwa kuwasili jijini huko kusaka wadhaminiKamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Charles mkumbo, amesema mabomu hayo yametumika ili kuwazuia wafuasi hao wasiweze kujazana uwanjani hapo na kusimamisha shughuli nyingine.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi

 

11 years ago

GPL

VURUGU MWEMBEYANGA, MABOMU YA MACHOZI YAPIGWA

VURUGU kubwa zimetokea katika Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar wakati wa tamasha la uzinduzi wa redio mpya ya EFM. Vurugu hizo zilizuka wakati burudani zikiendelea baada ya wananchi kuanza kurusha mawe na askari kuamua kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya. Kutokana na vurugu hizo, tamasha halikuweza kuendelea na inadaiwa baadhi ya watu wamejeruhiwa kwenye vurugu hizo. ...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi wazima vurugu za CUF Mji Mkongwe

WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.

 

10 years ago

GPL

MACHINGA DAR WASAMBARATISHWA KWA MABOMU YA MACHOZI KARUME

Baadhi ya wananchi na machinga wakikimbia. Hali ilivyokuwa baada ya…

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi

Gari ya FFU Kaskazini Unguja imepinduka na kujeruhi askari 6 hali yao ni mbaya sana baada ya kupakia mabomu ya machozi na silaha ikipeleka kazini kwa mwendo kasi. Huko Kasikazini Unguja walikuwa wanawalipulia raia wasio na […]

The post Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI

Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa.Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.Mmoja wa polisi aliyejeruhiwa katika vurugu za leo.Wanafunzi na baadhi ya wanaharakati wakiwanyooshea fimbo wanausalama waliokuja kuzuia vurugu hizo.

JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...

 

10 years ago

CloudsFM

Mgomo wa madereva,polisi wapiga Mabomu ya machozi kutawanyisha wananchi

Wananchi wakiwa wamechoma moto matairi maeneo ya stendi kuu ya Ubungo jijini Dar,polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanyisha wananchi hao.
MADEREVA wa mabasi ya mikoani na daladala wa jijini Dar leo wamefanya mgomo kupinga agizo la Mamlaka ya Kudhibiti Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) lililowataka kwenda kusoma katika Chuo cha Usafirishaji (NIT).

Mwandishi wetu amezunguka maeneo tofautitofauti jijini Dar na kujionea hali halisi ya mgomo wa mabasi ya mikoani pamoja na daladala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani