Mgomo wa madereva,polisi wapiga Mabomu ya machozi kutawanyisha wananchi
MADEREVA wa mabasi ya mikoani na daladala wa jijini Dar leo wamefanya mgomo kupinga agizo la Mamlaka ya Kudhibiti Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) lililowataka kwenda kusoma katika Chuo cha Usafirishaji (NIT).
Mwandishi wetu amezunguka maeneo tofautitofauti jijini Dar na kujionea hali halisi ya mgomo wa mabasi ya mikoani pamoja na daladala...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 May
Exclusive Mgomo wa madereva: Mabomu ya Machozi muda huu yapigwa hali mbaya
Kiongozi wa madereva nchini, Rashid Said, akiongea na umati wa madereva kaatika sakata hilo ambapo alikuwa akitoa ufafanuzi na namna ya kumsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike eneo hilo kuongea na madereva hao.
News Alert; MUDA HUU SAA KUMI NA DAKIKA 19 !!!!!!MABOMU MABOMU MABOMU !!! ASKARI POLISI SASA HIVI WANAPIGA MABOMU HOVYO YA MACHOZI TAYARI WAMEPIGA MAWILI WATU WANAKIMBIA HOVYO!
**Mgomo kuwa wa muda mrefu zaidi: madereva wasema hata wakikaa siku tatu watakula biskuti
Na Andrew...
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Breaking News!!! Â Mabomu ya Machozi yanarindima muda huu Kituo cha Mabasi Ubungo hali mbaya mgomo wa madereva
Katibu wa Madereva Mboka akiongea na wandishi wa Habari muda huu, kabla ya mabomu hayajarindima
…Mgomo wa Mabasi kuwa endelevu hadi watakapo achiwa viongozi wao wanaoshikiliwa na jeshi la Polisi
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Modewji blog ambayo imepiga kambi katika kituo cha Mabasi Ubungo kuanzia majira ya saa 11, alfajiri, ni kuwa tayari baadhi ya viongozi wa madereva wametoa tamko rasmi kuwa mgomo wao huo utaendelea hadi hapo viongozi wao wakuu zaidi ya Sita (6) wanaoshikiliwa na...
10 years ago
GPLMGOMO DALADALA, MABASI WAZIDI KUTIKISA DAR, MABOMU YA MACHOZI YALINDIMA!
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi
Gari ya FFU Kaskazini Unguja imepinduka na kujeruhi askari 6 hali yao ni mbaya sana baada ya kupakia mabomu ya machozi na silaha ikipeleka kazini kwa mwendo kasi. Huko Kasikazini Unguja walikuwa wanawalipulia raia wasio na […]
The post Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboPOLISI WAFYATUA MABOMU YA MACHOZI UBUNGO KUZUIA VURUGU.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdjP5CiMqZxFtcgL01GzKjcLBZ2YgajqtgbxoOeXUK9yArLEHd9daj2QGqqFtk2D8gONPG-uQMYBXvBul*XQyecq/polisi.jpg?width=650)
POLISI DAR WAZIMA VURUGU KWA MABOMU YA MACHOZI
10 years ago
Vijimambo20 Jan
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9kO4jIy6c7svrbkT6IoUkMaYPp3JlPpDcHILc9Q6680WLO7d-FpkVdOb*x5pbwFQAkVP6vTjxQiPF1OcjPPORE4/6.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9k1R7IhxQ5UaLt48dnG-HSIdKVK27mSInBu9fNGwARefrolZC*IOZ3Ghc2kOVK2aA9zKuMfLJ5ReQzT0tev0Xca/2.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9mNbigB9grpbqSkM01iTWWfq-tWeqTjgtBRnQZrAT8KXUd7*dJR1R1hN1MkCEPxQrwp9CIdqCMKoEDJvWWz98j4/3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9n5h**PADXXMDIZiZ-I*eJm-5NQ0WJZVa-vS8zQNIDIQakrW-5jbDf8p3hWpzYRisgFRvSe9DwekWMUXpiATQP3/5.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9l5TK5ZAiN*nxCiQieCEVggVKce*cYFj6g1G8eOCOL-6-uMimvDOjtGW5mktTXL*j1CAxJn1KiQr6qMYuljksV7/4.jpg)
JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BeNBV1Q8z_U/VdB_zjDAzwI/AAAAAAABT_I/7-CJQ5RPLQ0/s72-c/11895938_670712789731518_8459428299342209134_n.jpg)
POLISI MWANZA WATAWANYISHA UKAWA KWA MABOMU YA MACHOZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BeNBV1Q8z_U/VdB_zjDAzwI/AAAAAAABT_I/7-CJQ5RPLQ0/s640/11895938_670712789731518_8459428299342209134_n.jpg)
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3a4E7n0BnfGVkckanxpZRu*9pV*qjIVC*9DdvDkbdEIyyjVEAP6hoPgTS11kFr64q8pYOwVUd3AT-cQcIPVzdsJHqqkyZmh/breakingnews.gif)
WANANCHI KAWE WAFUNGA BARABARA WAKIDAI MATUTA, WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI