Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KATAVI: UBAKAJI WATOTO WA CHINI YA MWAKA HADI MIAKA MINNE UNAHUSISHWA NA IMANI ZA KISHIRIKINA

  Matukio ya vitendo vya ubakaji kwa watoto wadogo wenye umri wa chini ya mwaka mmoja hadi miaka nane yameendelea kuripotiwa mkoani katavi ambapo idadi kubwa ya matukio hayo yanaelezwa kusababishwa na imani za kishirikina
Akizungumzia matukio hayo Afande Clara Ndamukyana wa kitengo cha Dawati la Jinsia mkoa wa Katavi amesema hali hiyo inasababishwa na waganga wa jadi wanaowadanganya wateja wao

“Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa wanasema waganga waliwaeleza kuwa wakipata mabinti ambao...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WADAU WAANZA KUWASILI SHEREHE YA FUNGA MWAKA DMV SASA WATOTO CHINI YA MIAKA 18 HAWATALIPA KIINGILIO

MWANACHAMA HAI KUPATA VINYWAJI  2 BURE
 Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly akiwa na Asha Nyang'anyi wakimpa kampani mgeni wao Mhe. Kadari Singo mwakilishi wa Diaspora Bubge la katiba atayezungumuza na Watanzania leo kuhusiana na Bunge hilo na yeye pekee ndieye atakayekuwa na kipindi cha maswali na majibu katika kuhitimisha sherehe ya kufunga mwaka na kuukaribisha mwaka 2015 itakayofanyikia ukumbi wa Oxford uliopo Lanham kuanzia saa 1 usiku (7pm) leo Desemba 31, 2014.  Rais wa...

 

9 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI

 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akizungumza juu ya Upungufu wa vitamini na Baadhi ya Madini muhimu kama Vitamini A, folate, Madini chuma Zinki na madini joto ni chazo cha vifo kwa Watoto chini ya miaka Mitano na chanzo kikubwa cha maradhi mbalimbali kote Duniani, kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa Taasisi ya Global Alliance for Iproved Nutrition (GAIN) ,Marc van Amerngen katika mkutano uliofanyika  leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Watoto wenye miaka mitatu na minne wabakwa Somalia

Binamu wawili walivamiwa na wabakaji wakati wakirejea kutoka shule na sasa wanahitaji kufanyiwa upasuaji mkubwa.

 

11 years ago

Habarileo

Achinjwa kwa imani za kishirikina

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariMKAZI wa Kijiji cha Kakese-Mkwajuni, wilayani Mpanda, Shoma Salum (78) ameuawa kwa kuchinjwa kwa kile kinachodaiwa ni kutokana na imani za kishirikina.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wajiondoa vicoba kwa imani za kishirikina

WANANCHI mkoani Iringa, huenda wakakwama kufikia lengo la kuanzisha Benki ya wananchi waishio vijijini (Vicoba) kutokana na baadhi ya wanachama kujiondoa katika vikundi hivyo kutokana na imani za ushirikina. Hatua...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamke auawa kwa imani za kishirikina

Polisi mkoani hapa inawasaka watu wanaodaiwa kumuua kikatili, Rehema Msole (32) kwa kumpiga shoka, mawe na nondo, kisha mwili wake kuuchoma moto wakimtuhumu kuwa ni mchawi.

 

10 years ago

Mwananchi

Watano wafa kwa imani za kishirikina

Watu watano wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na imani za kishirikina katika matukio mawili tofauti vijiji vya Ng’wande, wilayani Kaliua na Mtundu, Kata ya Bukoko, wilayani Igunga.

 

10 years ago

Mwananchi

Imani za kishirikina zinavyochangia unyanyasaji wa kijinsia

“Mama yangu ameshanitoa mimba mara tatu akidai kuwa mimi ni mgonjwa wa akili sitaweza kumnyonyesha mtoto wala kumtunza, lakini napenda kuwa na mtoto,” anasema binti wa umri wa miaka 16 (jina linahifadhiwa), anayeishi eneo la Iyunga mkoani Mbeya.

 

9 years ago

Habarileo

Auawa, anyofolewa viungo kwa imani za kishirikina

WATU wawili wamekufa katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani Katavi akiwemo mkazi wa kijiji cha Mgasa, Tarafa ya Kabungu wilayani Mpanda, Chiza Lamaeck (23) kuuawa kikatili kwa kunyofolewa viungo vyake vya mwili zikiwemo sehemu zake za siri kwa imani za kishirikina.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani