Waziri Mkuu awaweka matatani viongozi wa mkoa wa Kigoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi na watumishi wa mkoa wa Kigoma kwenye ukumbi wa NSSF katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya siku mbili mkoani humo Desemba 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, mkoani Kigoma imewaacha matatani baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya kubaini uuzwaji wa majengo ya halmashauri kinyume na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kh4IBf9Ak0c/VJfrt9saoEI/AAAAAAAG4_c/MNfVQWj5YQo/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AKANUSHA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA KIGOMA KULA PESA YA TASAF
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hOTpEjISVVs/XtNmA2Vph8I/AAAAAAABB_Y/ZojQdAoZCS4nEUal5DDQiTn3Pc2HiLvNQCNcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
CAG AWAWEKA MATATANI MAOFISA HALMASHAURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-hOTpEjISVVs/XtNmA2Vph8I/AAAAAAABB_Y/ZojQdAoZCS4nEUal5DDQiTn3Pc2HiLvNQCNcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Sagini alisema katika hoja hizo, wapo watumishi wa halmashuari hiyo ambao walishindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo, ambao ametaka watafutwe na wachukuliwe hatua kila mmoja kulingana na hoja yake.
Alitoa maagizo hayo jana wakati wa kikao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CC_BdQbdJGo/Xsfz5VbtRBI/AAAAAAALrTs/6CPow7YcVrcdb36Gqf4RE9Mo7B8U4M9wACLcBGAsYHQ/s72-c/3bf7b521-95c5-44a8-b6a6-884ef19f17cd.jpg)
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.
Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QfI_fBaDwXY/XvRiYICQ32I/AAAAAAALvV4/5pS8E-rlm9wWJ6xYXMwCYjkWqqSK_cPMQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_145254_9.jpg)
Waziri Kairuki apongeza kampuni ya Qwihaya kuwekeza mkoa wa Kigoma
Alisema...
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUSISITIZA AMANI NA UTULIVU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KPucvek-SBQ/XoJDftBK65I/AAAAAAALloE/XOTv2kKRVcQz8lgeaF2sRSIsLiJlstGVACLcBGAsYHQ/s72-c/a146cae1-59a5-4c64-8e04-3ac8ab04f5fc.jpg)
MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI
Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.
Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fA0KSn9y050/XsfMfBZ91tI/AAAAAAALrRQ/dBlmjLB1I3g8ueHWYf02hCMHeZ5o99CAwCLcBGAsYHQ/s72-c/KM%2BKusaya________.jpg)
Ziara ya Waziri Mkuu Mkoani Kigoma
Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa mjini Kigoma na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya alipoongea na waandishi wa habari kuhusu ziara ya Waziri Mkuu .
" Jitihada za Wizara hadi sasa tumeweza kuzalisha mbegu bora za michikichi 1,556,111 ambapo miche 49,032 ipo tayari kwa ajili ya kupandwa kwenye Halmashauri sita za Mkoa wa Kigoma" , alisema Kusaya.
Katibu Mkuu huyo amesema Waziri Mkuu Mhe....
9 years ago
StarTV28 Nov
Ofisi za Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa zagongana kuhusu baa la njaa isimani iringa
Siku chache baada ya Star Tv kuripoti taarifa ya baa la njaa linalotishia maisha ya watu karibu ya 70,000 wa tarafa ya Isimani mkoani Iringa, ofisi mbili za Serikali zimegongana juu ya jambo hilo.
Wakati Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa imekilaumu kitengo cha Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kutotoa ushirikiano wa kutosha hadi watu kufikia hatua ya kula matunda pori kama chakula chao kikuu, kitengo hicho kimekanusha madai hayo kwa maelezo kuwa kuna utaratibu wa kutoa chakula cha msaada na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_PSb3uiLEdQ/U0sDBggHdnI/AAAAAAACeyQ/HV66cARz1jo/s72-c/26.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AWASILI SALAMA MKOA WA KATAVI USIKU HUU AKITOKEA KIGOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-_PSb3uiLEdQ/U0sDBggHdnI/AAAAAAACeyQ/HV66cARz1jo/s1600/26.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ke3Sl6FMd_Q/U0r8_016s8I/AAAAAAACev8/9sdUx2JZaZE/s1600/22.jpg)