Waziri Kairuki apongeza kampuni ya Qwihaya kuwekeza mkoa wa Kigoma
![](https://1.bp.blogspot.com/-QfI_fBaDwXY/XvRiYICQ32I/AAAAAAALvV4/5pS8E-rlm9wWJ6xYXMwCYjkWqqSK_cPMQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_145254_9.jpg)
Na Francis Godwin , Iringa WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu Uwekezaji Angellah Kairuki ameeleza kufurahishwa na kasi ya uwekezaji inayofanywa na kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd kwa kuwekeza viwanda vya nguzo katika mikoa mbali mbali ukiwemo mkoa wa Kigoma na kutaka wadau wengine kuelekeza nguvu zao katika mkoa wa Kigoma badala ya kuwekeza Dar es Salaam ,Dodoma na mikoa mingine ambayo ni rahisi kufikika .
Alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_GHM1Cvpvdo/XvZFGOHhDTI/AAAAAAALvn4/cuyWKcerip0GVKtEAC6da8jDy6MBISz5QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200623-WA0073.jpg)
WAZIRI KAIRUKI APONGEZA NA KUWATAKA WAWEKEAZAJI WA VIWANDA KUIGA MFANO WA KAMPUNI QWIHAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_GHM1Cvpvdo/XvZFGOHhDTI/AAAAAAALvn4/cuyWKcerip0GVKtEAC6da8jDy6MBISz5QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0073.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1whsxV17sJI/XvX2ArxIlyI/AAAAAAAAIAU/1clWDanUHl0ME-NWFUnDlzwjbpGNvqkfQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0067.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd Leonard Maheda akimueleza jambo waziri Kairuki alipofanya ziara katika kiwanda hicho kilicho mkoani Iringa wilaya ya Mufindi
![](https://1.bp.blogspot.com/-1Bhf7N3FOgY/XvX2CQhxARI/AAAAAAAAIAc/0OthCndMOoMIN4ncCXWb4OdXtO_WJfWhQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0080.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu,Uwekezaji Angellah Kairuki akitete jambo naMkurugenzi mtendaji wa kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd Leonard Maheda pamoja na mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato...
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s72-c/blogger-image--1990319810.jpg)
KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA UBORA ,YAZIBWAGA KAMPUNI KONGWE TENA WAZIRI KAMANI APONGEZA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s640/blogger-image--1990319810.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hu7bI-xcrDI/VXgzNZhV3pI/AAAAAAAB9kk/CP-0xXS3x-w/s640/blogger-image-1808652216.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fr4V4xm3ZkM/VXgy6EPLKRI/AAAAAAAB9j8/qCw_lVL3whE/s640/blogger-image--1152033488.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI KAIRUKI AWAPONGEZA VIONGOZI MKOA WA SINGIDA KWA KUHIMIZA UWEKEZAJI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kMdFtj3aFrg/XrFiOMz-e4I/AAAAAAAAH3U/KiT_vhoCofYP9rkryB_IT5dgRsGYK0DmQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200502-WA0089.jpg)
DC MUFINDI AISHUKURU KAMPUNI YA QWIHAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kMdFtj3aFrg/XrFiOMz-e4I/AAAAAAAAH3U/KiT_vhoCofYP9rkryB_IT5dgRsGYK0DmQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0089.jpg)
Mkurugenzi wa Qwihaya General Enterprises Ltd, Ndugu Leonard Mahenda alikabidhi kuunga mkono mapambano dhidi ya virusi vya corona Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Jamuhuri Willium mbele ya mkurugenzi wa Mji wa Mafinga.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lKBbAjRlFyY/XrFiOenMQII/AAAAAAAAH3Y/XaUdtRz4rXstIgGvl0Quf_qhiPJwNOVIACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0090.jpg)
Mkurugenzi wa Qwihaya General Enterprises Ltd, Ndugu Leonard Mahenda alikabidhi kuunga mkono mapambano dhidi ya virusi vya corona Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Jamuhuri Willium .
![](https://1.bp.blogspot.com/-PBqd_dH1M00/XrFiOUqFUtI/AAAAAAAAH3c/2iJddyo8krofk2apDBr-cO-cfQuXi5nQQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0092.jpg)
Mkurugenzi wa Qwihaya General Enterprises Ltd, Ndugu Leonard Mahenda na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi,...
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Waziri Mkuu awaweka matatani viongozi wa mkoa wa Kigoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi na watumishi wa mkoa wa Kigoma kwenye ukumbi wa NSSF katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya siku mbili mkoani humo Desemba 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, mkoani Kigoma imewaacha matatani baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya kubaini uuzwaji wa majengo ya halmashauri kinyume na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vhG7kSnlHPA/Xn4Ztsv4LWI/AAAAAAAAHwQ/WsESE3ItP5cLugbOH0blEWF5WRogSajVwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_125321.jpg)
KAMPUNI YA QWIHAYA YATOA ZAIDI YA MILIONI 21 KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO PAWAGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhG7kSnlHPA/Xn4Ztsv4LWI/AAAAAAAAHwQ/WsESE3ItP5cLugbOH0blEWF5WRogSajVwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_125321.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiwa anaongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea msaada kutoka katika Kampuni ya QWIHAYA ya wilaya Mufindi kwa ajili ya wahanga wa mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Mbingama mkoani Iringa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YFtTabfUZnU/Xn4ZtpAQqvI/AAAAAAAAHwM/IrOkO93ft2QbccZi3CDY9WRWu5oJDc8eQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_125209.jpg)
Huu ndio msaada wa Mirunda ambayo itaenda kusaidia katika ujenzi wa makazi mapya kwa wananchi wa kitongoji cha Mbingama
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
KAMPUNI ya QWIHAYA GENERAL CO LTD ya mkoani Iringa imetoa msaada wa zaidi ya shilingi milioni 21 kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kMdFtj3aFrg/XrFiOMz-e4I/AAAAAAAAH3U/KiT_vhoCofYP9rkryB_IT5dgRsGYK0DmQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200502-WA0089.jpg)
KAMPUNI YA QWIHAYA YASAIDIA VIFAA VYA ZAIDI YA MILIONI 10, DC MUFINDI AISHUKURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-kMdFtj3aFrg/XrFiOMz-e4I/AAAAAAAAH3U/KiT_vhoCofYP9rkryB_IT5dgRsGYK0DmQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0089.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lKBbAjRlFyY/XrFiOenMQII/AAAAAAAAH3Y/XaUdtRz4rXstIgGvl0Quf_qhiPJwNOVIACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0090.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PBqd_dH1M00/XrFiOUqFUtI/AAAAAAAAH3c/2iJddyo8krofk2apDBr-cO-cfQuXi5nQQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0092.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GWsL3R25ZnM/VX80TUnTa7I/AAAAAAAAREQ/MleqrmoDyY8/s72-c/E86A0483%2B%2528800x533%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI, ANGELA KAIRUKI ATEMBELEA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GWsL3R25ZnM/VX80TUnTa7I/AAAAAAAAREQ/MleqrmoDyY8/s640/E86A0483%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qFmmH5jfA_I/VX80QYp82FI/AAAAAAAARD4/zDuDWsCA7Io/s640/E86A0463%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMGHh9So_3U/VX80SqoAm4I/AAAAAAAAREM/Zy4OlZ9fbh0/s640/E86A0472%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-13HaR2O8vxk/VX80NcMpeyI/AAAAAAAARDk/J-OV4egP8Pw/s640/E86A0440%2B%2528800x533%2529.jpg)
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.