KAMPUNI YA QWIHAYA YATOA ZAIDI YA MILIONI 21 KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO PAWAGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhG7kSnlHPA/Xn4Ztsv4LWI/AAAAAAAAHwQ/WsESE3ItP5cLugbOH0blEWF5WRogSajVwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_125321.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiwa anaongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea msaada kutoka katika Kampuni ya QWIHAYA ya wilaya Mufindi kwa ajili ya wahanga wa mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Mbingama mkoani Iringa.
Huu ndio msaada wa Mirunda ambayo itaenda kusaidia katika ujenzi wa makazi mapya kwa wananchi wa kitongoji cha Mbingama
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
KAMPUNI ya QWIHAYA GENERAL CO LTD ya mkoani Iringa imetoa msaada wa zaidi ya shilingi milioni 21 kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d53eA494jrA/Xqg_oZF6oEI/AAAAAAAAH1k/392opMhx4qUQevjelNm1dtXa8I6JFTt8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_132812.jpg)
ARIFU ABRI ATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBINGAMA PAWAGA,MKOANI IRINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-d53eA494jrA/Xqg_oZF6oEI/AAAAAAAAH1k/392opMhx4qUQevjelNm1dtXa8I6JFTt8QCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_132812.jpg)
Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia Wilaya ya Iringa Vijijini Arifu Abri akiongea na vyombo vya habari mara baada ya kukabidhi msaada kwa ajili ya wahanga wa kitongoji cha Mbingama tarafa ya Pawaga.
NA FREDY MGUNDA, IRINGA.
MJUMBE wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia Wilaya ya Iringa Vijijini Arifu Abri ametoa msaada wa chakula tani tatu kwa ajili ya wahanga wa mafuriko wa kijiji cha Isele kilichoko tarafa ya Pawaga wilaya ya Iringa vijijini mkoanbi Iringa kwa kuwa wanakabiliwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kMdFtj3aFrg/XrFiOMz-e4I/AAAAAAAAH3U/KiT_vhoCofYP9rkryB_IT5dgRsGYK0DmQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200502-WA0089.jpg)
KAMPUNI YA QWIHAYA YASAIDIA VIFAA VYA ZAIDI YA MILIONI 10, DC MUFINDI AISHUKURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-kMdFtj3aFrg/XrFiOMz-e4I/AAAAAAAAH3U/KiT_vhoCofYP9rkryB_IT5dgRsGYK0DmQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0089.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lKBbAjRlFyY/XrFiOenMQII/AAAAAAAAH3Y/XaUdtRz4rXstIgGvl0Quf_qhiPJwNOVIACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0090.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PBqd_dH1M00/XrFiOUqFUtI/AAAAAAAAH3c/2iJddyo8krofk2apDBr-cO-cfQuXi5nQQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0092.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Chadema yatoa mabati 850 kwa waathirika mafuriko Kahama
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr.Slaa-16March2015.jpg)
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa (pichani), alisema msaada huo una thamani ya Sh. milioni 12.
Dk. Slaa alifafanua kuwa kati ya kiasi hicho cha fedha zilizonunua mabati, Sh. milioni 10 ni sehemu ya ruzuku inayotolewa na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s72-c/E86A7121%2B(800x533).jpg)
BENKI YA NMB YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI HAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s640/E86A7121%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOY994MG_L0/VVCzunUSCmI/AAAAAAAAPRo/mQOSauN1OIo/s640/E86A7134%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lyl8c2TtWIs/VVCzuGnMiNI/AAAAAAAAPRs/Nmvigz3gGcg/s640/E86A7138%2B(800x450).jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z6F8rXaYlX4/VV2G0TabHII/AAAAAAAAPws/nIdMsdggPVE/s72-c/E86A8104%2B%2528800x533%2529.jpg)
KAMPUNI YA BONITE BOTTLERS YAMWAGA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-z6F8rXaYlX4/VV2G0TabHII/AAAAAAAAPws/nIdMsdggPVE/s640/E86A8104%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khLW74G9fuw/VV2G4BAwvJI/AAAAAAAAPw4/Ut-WXgVb60w/s640/E86A8111%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200301-WA0218.jpg)
RED CROSS YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MTO WA MBU-ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0218.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GeD2BonvIO4/Xl0omYzDHGI/AAAAAAAAQVY/i7-84Oe9AQwq40IGUGDhbSvnyoIuPbAQQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0219.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dIPP2YCJe_Y/Xl0oxxpcFxI/AAAAAAAAQVc/MKTRi_LeNXI3lNW4ovwJY4jItvhG-S34QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0221.jpg)
Na,Vero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IjsBCkzkGyA/XoyAFO5tWFI/AAAAAAALmXQ/rt8n2n1tCHQcFP4MH--b1M7G--b9d7cJgCLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI1510.jpg)
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MBEGU ZA MAHINDI KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO LINDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-IjsBCkzkGyA/XoyAFO5tWFI/AAAAAAALmXQ/rt8n2n1tCHQcFP4MH--b1M7G--b9d7cJgCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1510.jpg)