ARIFU ABRI ATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBINGAMA PAWAGA,MKOANI IRINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-d53eA494jrA/Xqg_oZF6oEI/AAAAAAAAH1k/392opMhx4qUQevjelNm1dtXa8I6JFTt8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_132812.jpg)
Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia Wilaya ya Iringa Vijijini Arifu Abri akiongea na vyombo vya habari mara baada ya kukabidhi msaada kwa ajili ya wahanga wa kitongoji cha Mbingama tarafa ya Pawaga.
NA FREDY MGUNDA, IRINGA.
MJUMBE wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia Wilaya ya Iringa Vijijini Arifu Abri ametoa msaada wa chakula tani tatu kwa ajili ya wahanga wa mafuriko wa kijiji cha Isele kilichoko tarafa ya Pawaga wilaya ya Iringa vijijini mkoanbi Iringa kwa kuwa wanakabiliwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vhG7kSnlHPA/Xn4Ztsv4LWI/AAAAAAAAHwQ/WsESE3ItP5cLugbOH0blEWF5WRogSajVwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_125321.jpg)
KAMPUNI YA QWIHAYA YATOA ZAIDI YA MILIONI 21 KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO PAWAGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhG7kSnlHPA/Xn4Ztsv4LWI/AAAAAAAAHwQ/WsESE3ItP5cLugbOH0blEWF5WRogSajVwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_125321.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiwa anaongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea msaada kutoka katika Kampuni ya QWIHAYA ya wilaya Mufindi kwa ajili ya wahanga wa mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Mbingama mkoani Iringa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YFtTabfUZnU/Xn4ZtpAQqvI/AAAAAAAAHwM/IrOkO93ft2QbccZi3CDY9WRWu5oJDc8eQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_125209.jpg)
Huu ndio msaada wa Mirunda ambayo itaenda kusaidia katika ujenzi wa makazi mapya kwa wananchi wa kitongoji cha Mbingama
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
KAMPUNI ya QWIHAYA GENERAL CO LTD ya mkoani Iringa imetoa msaada wa zaidi ya shilingi milioni 21 kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-y0_vNIiYpBc/Uu8_T3snKsI/AAAAAAAFKig/A0qR1IpUfB8/s72-c/unnamed+(13).jpg)
NMB YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA UPEPO MKALI KATA YA IZAZI MKOANI IRINGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-y0_vNIiYpBc/Uu8_T3snKsI/AAAAAAAFKig/A0qR1IpUfB8/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wY8lobUYP5w/Uu8_T4EGPZI/AAAAAAAFKik/Kz_ypgL22YQ/s1600/unnamed+(14).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VU_eQxL9jKg/Xky6h7K7zCI/AAAAAAALeLs/YP-9mUIycpsIcVx1gF4IsIGkdBpBByRBgCLcBGAsYHQ/s72-c/ds.jpg)
Waathirika wa mafuriko mkoani Lindi wapata msaada wa thamani wa Sh.Milioni 30
Taasisi isiyokuwa ya Kiserikali ya China inayofanya kazi nchini (Over Seas Chinese Services Center) imetoa msaada kwa Wananchi waliopata maafa ya mafuriko mkoani Lindi.
Msaada huo umekabidhiwa kwa Chama cha Msalaba Mwekwendu Tanzania Red Cross wenye thamani ya sh.milioni 30.Akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa akikabidhi msaada huo Mkurugenzi wa Taasisi ya China Aston Yi amesema kuwa Tanzania ni China ni familia moja hivyo wanajibu wa kutoa msaada...
5 years ago
MichuziDC KASESELA:AHAMISHA KITONGOJI CHA MBINGAMA TARAFA YA PAWAGA.
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiongea na wananchi wa kijiji cha Isele kitongoji cha Mbingama kilichopo katika tarafa ya Pawaga akiongea nao mara baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokana na kunyesha kwa mvua nyingi mwaka huu
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiongea na wananchi wa kijiji cha Isele kitongoji cha Mbingama kilichopo katika tarafa ya Pawaga akiongea nao mara baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokana na kunyesha kwa mvua nyingi mwaka huu
NA FREDY...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s72-c/E86A7121%2B(800x533).jpg)
BENKI YA NMB YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI HAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s640/E86A7121%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOY994MG_L0/VVCzunUSCmI/AAAAAAAAPRo/mQOSauN1OIo/s640/E86A7134%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lyl8c2TtWIs/VVCzuGnMiNI/AAAAAAAAPRs/Nmvigz3gGcg/s640/E86A7138%2B(800x450).jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziUbalozi wa China watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko mkaoni Morogoro
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUGHE PWANI WATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI
Baadhi ya wananchi Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani wamekosa makazi ya kuishi kutokana na nyumba zao pamoja na maduka kuzingirwa na maji ikiwemo wengine kukumbwa na changamoto ya mazao yao mbali mbali zaidi ya hekta 4000 kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha maafa hayo ambayo yamepelekea wananchi kuishi katika mazingira magumu hivyo kupelekea kuishi katika mazingira magumu.
Hayo yalibainishwa na wananchi hao wakati wa ziara ambayo...
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z6F8rXaYlX4/VV2G0TabHII/AAAAAAAAPws/nIdMsdggPVE/s72-c/E86A8104%2B%2528800x533%2529.jpg)
KAMPUNI YA BONITE BOTTLERS YAMWAGA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-z6F8rXaYlX4/VV2G0TabHII/AAAAAAAAPws/nIdMsdggPVE/s640/E86A8104%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khLW74G9fuw/VV2G4BAwvJI/AAAAAAAAPw4/Ut-WXgVb60w/s640/E86A8111%2B%2528800x533%2529.jpg)