Mkwasa awaweka rumande watendaji
Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa juzi aliwaweka rumande watendaji wa kata mbili baada ya kubainika kuwa wametafuna fedha za michango ya ujenzi wa maabara za sekondari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Makonda awaweka rumande maofisa ardhi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, jana aliwaweka ndani maofisa ardhi zaidi ya 10 kwa saa sita.
Imeelezwa kuwa Makonda alifanya hivyo kwa kile kilichoelezwa kukaidi agizo lake la kuwataka wawahi katika eneo la mkutano kusikiliza migogoro ya ardhi.
Tukio hilo lilitokea katika eneo la Nakasangawe Kata ya Wazo, Dar es Salaam, baada ya maofisa hao kuchelewa kufika tofauti na walivyotakiwa.
Makonda alisema walikubalina kuwahi katika kikao cha...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hOTpEjISVVs/XtNmA2Vph8I/AAAAAAABB_Y/ZojQdAoZCS4nEUal5DDQiTn3Pc2HiLvNQCNcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
CAG AWAWEKA MATATANI MAOFISA HALMASHAURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-hOTpEjISVVs/XtNmA2Vph8I/AAAAAAABB_Y/ZojQdAoZCS4nEUal5DDQiTn3Pc2HiLvNQCNcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Sagini alisema katika hoja hizo, wapo watumishi wa halmashuari hiyo ambao walishindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo, ambao ametaka watafutwe na wachukuliwe hatua kila mmoja kulingana na hoja yake.
Alitoa maagizo hayo jana wakati wa kikao...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Mbowe awaweka vijana mguu sawa
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema hawatokubali kukaa kimya na kuona Bunge Maalum la Katiba Mpya likiwa linaendelea hadi Oktoba 4. Mbowe alisema, endapo watapuuzwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4VL9NQuD5xou-I0kMdv3gCpupIO91qnTu8Bd9oV030Z9dIcIEtqt92ZjcUZrsI3IJJDskYLuTxIzND6llJudlP1/lowassa.gif?width=650)
LOWASSA AWAWEKA UKAWA NJIA PANDA!
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Kocha mpya Simba awaweka kiporo majeruhi
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Waziri Mkuu awaweka matatani viongozi wa mkoa wa Kigoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi na watumishi wa mkoa wa Kigoma kwenye ukumbi wa NSSF katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya siku mbili mkoani humo Desemba 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, mkoani Kigoma imewaacha matatani baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya kubaini uuzwaji wa majengo ya halmashauri kinyume na...
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Magufuli awaweka roho juu vigogo mashirika ya umma
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Mdee apelekwa Rumande
Mwenyekiti wa Baraza la wanawake Chadema Halima mdee akiongoza maandamano kwenda Ikulu mapema mwishoni mwa juma. (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kawe, na wenzake jana walirejeshwa rumande baada ya wakili kushindwa kumaliza kuhakiki fomu za dhamana zao.
Aidha, washitakiwa hao waliondolewa kwenye ardhi ya Mahakama ya Kisutu wakiwa chini ya ulinzi mkali wa zaidi ya polisi 30 na msafara wa magari manne likiwemo la maji ya kuwasha.
Halima Mdee (35), alifikishwa katika Mahakama...
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mbunge wa upinzani rumande TZ