Mdee apelekwa Rumande
Mwenyekiti wa Baraza la wanawake Chadema Halima mdee akiongoza maandamano kwenda Ikulu mapema mwishoni mwa juma. (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kawe, na wenzake jana walirejeshwa rumande baada ya wakili kushindwa kumaliza kuhakiki fomu za dhamana zao.
Aidha, washitakiwa hao waliondolewa kwenye ardhi ya Mahakama ya Kisutu wakiwa chini ya ulinzi mkali wa zaidi ya polisi 30 na msafara wa magari manne likiwemo la maji ya kuwasha.
Halima Mdee (35), alifikishwa katika Mahakama...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania08 Oct
Mdee apelekwa gerezani
![Halima Mdee](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Halima-Mdee.jpg)
Halima Mdee
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) na wenzake nane jana wamekwenda gereza la Segerea baada ya kunyimwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
Mdee na wenzake walifikishwa mahakamani hapo wakituhumiwa kufanya mkusanyiko kinyume na sheria kwa nia ya kutaka kuandamana kwenda Ikulu.
Watuhumiwa hao walipelekwa gereza la Segerea saa 10 jioni kwa kutumia gari la polisi lenye namba za usajili PT 1848.
Mbali ya gari, kulikuwa na...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Halima Mdee rumande
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (35) na wanachama wenzake wanane wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana walipelekwa rumande baada ya kushindwa kukamilisha taratibu za dhamana katika kesi inayowakabili ya kutotii amri halali ya Polisi na kufanya mkusanyiko bila kibali.
10 years ago
Habarileo09 Oct
Halima Mdee- 'Nimekula bata' rumande
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee (35) na wenzake wanane wameachiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mdee na wanachama wengine wanane waliachiwa jana mchana baada ya kutimiza masharti.
10 years ago
GPLHALIMA MDEE NA WENZAKE WAENDELEA KUSOTA RUMANDE
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Marando apelekwa India
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mabere Marando, amepelekwa nchini India na familia yake kwa ajili ya kupata matibabu zaidi.
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano Msaidizi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), John Steven, alisema Marando aliondoka juzi na baadhi ya ndugu zake.
“Wameondoka Jumapili kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu zaidi, wenyewe walisisitiza tusitaje ugonjwa unaomsumbua ndugu yao,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9DEg6elQZP2zzN2N3uGKervaEpine97bPzhfVWGb3LiEclWTvGCDoKSKoDcUwivBRaLQ1G48k92YA2Pxa1x5I8V/mtoto.jpg?width=650)
MTOTO MNENE APELEKWA MUHIMBILI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhS-GLjtoXPns8ySoIlPX3sD*tqAEYDCl5TcCFRRDGxnZ5fhy7XkQzFWb6r0*7eBoswZHCn*VKT8Lo4aQrzWJrz*/Auawaz.jpg)
MREMBO APELEKWA MAKABURINI, AUAWA
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Mukulu muasi wa ADF apelekwa Uganda
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aSLvHd*D*Q6WpBSd-rF7FnmiyldKT3LEsMaUWuya-VzYgQ9AgdaHnaAQFi6cjsXKZQbCeUTSzYoRmLMWyWA03JX/breakingnews.gif)
GWAJIMA MBARONI, APELEKWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR