Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdee apelekwa gerezani

Halima Mdee

Halima Mdee

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) na wenzake nane jana wamekwenda gereza la Segerea baada ya kunyimwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

Mdee na wenzake walifikishwa mahakamani hapo wakituhumiwa kufanya mkusanyiko kinyume na sheria kwa nia ya kutaka kuandamana kwenda Ikulu.

Watuhumiwa hao walipelekwa gereza la Segerea saa 10 jioni kwa kutumia gari la polisi lenye namba za usajili PT 1848.

Mbali ya gari, kulikuwa na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mdee apelekwa Rumande

baw

Mwenyekiti wa Baraza la wanawake Chadema Halima mdee akiongoza maandamano kwenda Ikulu mapema mwishoni mwa juma. (Picha na Maktaba).

Na Mwandishi wetu

Mbunge wa Kawe, na wenzake jana  walirejeshwa rumande baada ya wakili kushindwa kumaliza kuhakiki fomu za dhamana zao.

Aidha, washitakiwa hao waliondolewa kwenye ardhi ya Mahakama ya Kisutu wakiwa chini ya ulinzi mkali wa zaidi ya polisi 30 na msafara wa magari manne likiwemo la maji ya kuwasha.

Halima Mdee (35), alifikishwa katika Mahakama...

 

10 years ago

Mtanzania

Marando apelekwa India

marandoNa Veronica Romwald, Dar es Salaam

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mabere Marando, amepelekwa nchini India na familia yake kwa ajili ya kupata matibabu zaidi.

Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano Msaidizi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), John Steven, alisema Marando aliondoka juzi na baadhi ya ndugu zake.

“Wameondoka Jumapili kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu zaidi, wenyewe walisisitiza tusitaje ugonjwa unaomsumbua ndugu yao,...

 

11 years ago

GPL

MTOTO MNENE APELEKWA MUHIMBILI

Stori: Richard Bukos na Makongoro Oging
MTOTO Grace Simon (14) aliyewahi kuripotiwa na gazeti hili kuwa anapata mateso kutokana na mwili wake kuzidi kufumuka kila kukicha, hatimaye amefikishwa Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi. Akizungumza kwa masikitiko mama wa mtoto huyo, Ashura Ally alisema baada ya kuhangaika sehemu mbalimbali zikiwemo hospitali za Wachina, kwenye huduma...

 

10 years ago

GPL

MREMBO APELEKWA MAKABURINI, AUAWA


Hilda Mwita enzi za uhai wake. Chande AbdalLah na Gabriel Ng’osha MAJONZI! Mrembo mmoja aliyefahamika kwa jina la Hilda Mwita (29) mkazi wa Kisanga, Bunju A jijini Dar, anadaiwa kupelekwa eneo la makaburini, ambako alibakwa hadi kufa, Risasi Jumamosi lina kisa kizima. Tukio hilo la kuhuzunisha, lilitokea hivi karibuni, baada ya…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mukulu muasi wa ADF apelekwa Uganda

Kiongozi wa kundi la waasi wa Uganda la Allied Democratic Forces-ADFJamil Mukulu amekabidhiwa uganda.

 

10 years ago

Habarileo

Makalla awa RC Kilimanjaro, Rugimbana apelekwa Lindi

RAIS Jakaya Kikwete amefanya uteuzi mbalimbali, ikiwemo wakuu wawili wapya wa mikoa. Hatua hiyo inaziba nafasi zilizoachwa wazi na viongozi wa nafasi hizo, wanaowania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

GPL

GWAJIMA MBARONI, APELEKWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR

Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima amekamatwa na Jeshi la Polisi na kwa sasa yupo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Habari zaidi pamoja na picha kuhusu taarifa hizi zitawajia hivi…

 

11 years ago

Habarileo

Anayedaiwa mwanachama Al Shabaab apelekwa kwa DCI

MSHITAKIWA anayekabiliwa na kesi ya kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, Mussa Mtweve, amepelekwa kwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kwa ajili ya mahojiano.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU BORIS JOHNSON APELEKWA ICU

  Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amepelekwa katika chumba cha kuhudumia wagonjwa mahututi ICU baada ya hali yake kiafya kuwa mbaya kwa siku kumi zaidi kwasababu ya ugonjwa wa virusi vya Corona, kwa mujibu wa msemaji katika makazi ya Waziri Mkuu.
Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati hali yake ya kiafya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani