Makalla awa RC Kilimanjaro, Rugimbana apelekwa Lindi
RAIS Jakaya Kikwete amefanya uteuzi mbalimbali, ikiwemo wakuu wawili wapya wa mikoa. Hatua hiyo inaziba nafasi zilizoachwa wazi na viongozi wa nafasi hizo, wanaowania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p4fbjhJu1BY/VP1SytjTvvI/AAAAAAAHI10/8kjFSqqMmmM/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Ziara ya naibu waziri wa Maji Amos Makalla jimbo la Mchinga-Lindi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-16SvSXGKJAY/VJWgoFwNpKI/AAAAAAAG4vE/8RyMq_0e5A4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Makalla alipokuwa ziarani mjini Moshi mkoa wa Kilimanjaro
![](http://4.bp.blogspot.com/-16SvSXGKJAY/VJWgoFwNpKI/AAAAAAAG4vE/8RyMq_0e5A4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mnEPiqq8ZVw/VJWhVq9FcPI/AAAAAAAG4vM/6Hh7QqprKTA/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BU5zIfznL_g/VJWjmzqXxEI/AAAAAAAG4vY/r9PiXrr-Pwk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RxPaJvRXxtE/VJWjm4Ovi6I/AAAAAAAG4vk/9YX-hl5NRVM/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gW7TTBC8eFU/VJWjm8tDYoI/AAAAAAAG4vc/ufi1ZNUD_Bg/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Habarileo22 Sep
Mmarekani awa Balozi wa Mlima Kilimanjaro
TANZANIA imempa hadhi ya Ubalozi wa Mlima Kilimanjaro, raia wa Marekani, Macon Dunnagan, baada ya kutambua mchango wake katika kuutangaza mlima huo nchini mwake.
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Kasi ya RC Makalla yautikisa Mkoa wa Kilimanjaro, afanya ziara za kushtukiza
Na Mwandishi Wetu, Moshi
MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara ya kushtukiza katika masoko manne ya Manispaa ya Moshi pamoja na dampo za kukusanyia uchafu, ili kujionea hali ya usafi na utendaji kazi katika mkoa huo. Katika ziara hiyo, RC Makalla alitumia muda huo kuwaagiza watendaji wake, hususan katika mchakato mzima wa kuifanya Moshi iwe kwenye usafi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UAPwrp2-IWI/Vlw3aLBTl_I/AAAAAAAAJPU/etuKf7TH3VE/s640/Moshi%2B3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Amos Makalla apiga marufuku likizo za Ma DC, Wakurugenzi na Wakuu wa Idara mkoani Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
KATIKA hali inayoonyesha ni joto kali la kuwatumikia Watanzania, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makalla, amepiga marufuku likizo za Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na Wakuu wa Idara kwenye mkoa wake ili kutekeleza kwa vitendo hotuba na maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli.
RC Makalla aliyasema hayo jana katika kikao cha kazi na wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa idara wa halmashauri na Kamati ya Ulinzi...
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO, AMOSI MAKALLA APITA OFISI ZA MICHUZI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,AMOS MAKALLA ASHIRIKI KIFUNGUA KINYWA NA WAFANYAKAZI PAMOJA NA WATEJA WA BENKI YA NMB TAWI LA NELSON MANDELA-MOSHI
Pamoja na mafanikio hayo ameishauri benki hiyo kuendelea kuwa wabunifu wa bidhaa na kuendeleza huduma bora...
11 years ago
GPLBLUE LEAF YA LINDI YASHINDA POOL, KUSHIRIKI KITAIFA KILIMANJARO
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Rugimbana: Msikae na pesa nyingi nyumbani