MREMBO APELEKWA MAKABURINI, AUAWA
![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhS-GLjtoXPns8ySoIlPX3sD*tqAEYDCl5TcCFRRDGxnZ5fhy7XkQzFWb6r0*7eBoswZHCn*VKT8Lo4aQrzWJrz*/Auawaz.jpg)
Hilda Mwita enzi za uhai wake. Chande AbdalLah na Gabriel Ng’osha MAJONZI! Mrembo mmoja aliyefahamika kwa jina la Hilda Mwita (29) mkazi wa Kisanga, Bunju A jijini Dar, anadaiwa kupelekwa eneo la makaburini, ambako alibakwa hadi kufa, Risasi Jumamosi lina kisa kizima. Tukio hilo la kuhuzunisha, lilitokea hivi karibuni, baada ya…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO56RE4H6BByy2HtjMq8W2VIuu415zuuZbOlf1GUsd1ssTDdlUFfXBD1TC6Ly3n68a3w410ODdkJQMA8ZBCF80kK/ajabunsana.jpg?width=650)
MTOTO AISHI MAKABURINI
10 years ago
Mtanzania07 Oct
Viboko vyatembezwa makaburini
![Jiji la Mwanza](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/jiji-la-mwanza.jpg)
Jiji la Mwanza
NA VICTOR BARIETY, SENGEREMA
WAJUKUU wa marehemu Sabina Ngalu (77) wa jijini Mwanza, wamecharazwa bakora na watoto wa marehemu baada ya kung’ang’ania kaburini wakitaka kupewa fedha.
Tukio hilo la aina yake lilitokea katika Kitongoji cha Nyamwanza, Kata ya Sima, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza juzi muda mfupi baada ya mwili wa marehemu kuwasili eneo la mazishi ukitokea Kanisa la Roman Catholic Parokia ya Yesu Kirsto Mfalme la mjini Sengerema.
Chanzo cha wajukuu hao zaidi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjJw0oxHTWOPVCxcDMqJdKpgqbfBZM4JBVa7iWBQyb45-vNG7SFfXUHeJIYXL1*IoVNbhd7l4THpsgLUBSVFGvGl/CHEKANAKITIME.jpg)
KIZAAZAA SINZA MAKABURINI!
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mila zazua mtafaruku makaburini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6LgsQB7k8KCHup45xDnLf7xXNwXiAlE-6sLiYBoImU5QHi3LBBc9KWP4PO4*pCEsDe5reNVFI2g7OOKsG8NlqDs/safariyakuelekeamakaburini1.jpg?width=650)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dIvgotCq_5I/U26PgulkViI/AAAAAAAFgws/5g1JHUR3sCA/s72-c/20140510_105601.jpg)
KITUO CHA DALADALA SINZA MAKABURINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-dIvgotCq_5I/U26PgulkViI/AAAAAAAFgws/5g1JHUR3sCA/s1600/20140510_105601.jpg)
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Marando apelekwa India
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mabere Marando, amepelekwa nchini India na familia yake kwa ajili ya kupata matibabu zaidi.
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano Msaidizi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), John Steven, alisema Marando aliondoka juzi na baadhi ya ndugu zake.
“Wameondoka Jumapili kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu zaidi, wenyewe walisisitiza tusitaje ugonjwa unaomsumbua ndugu yao,...
10 years ago
Mtanzania08 Oct
Mdee apelekwa gerezani
![Halima Mdee](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Halima-Mdee.jpg)
Halima Mdee
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) na wenzake nane jana wamekwenda gereza la Segerea baada ya kunyimwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
Mdee na wenzake walifikishwa mahakamani hapo wakituhumiwa kufanya mkusanyiko kinyume na sheria kwa nia ya kutaka kuandamana kwenda Ikulu.
Watuhumiwa hao walipelekwa gereza la Segerea saa 10 jioni kwa kutumia gari la polisi lenye namba za usajili PT 1848.
Mbali ya gari, kulikuwa na...
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Mdee apelekwa Rumande
Mwenyekiti wa Baraza la wanawake Chadema Halima mdee akiongoza maandamano kwenda Ikulu mapema mwishoni mwa juma. (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kawe, na wenzake jana walirejeshwa rumande baada ya wakili kushindwa kumaliza kuhakiki fomu za dhamana zao.
Aidha, washitakiwa hao waliondolewa kwenye ardhi ya Mahakama ya Kisutu wakiwa chini ya ulinzi mkali wa zaidi ya polisi 30 na msafara wa magari manne likiwemo la maji ya kuwasha.
Halima Mdee (35), alifikishwa katika Mahakama...