KITUO CHA DALADALA SINZA MAKABURINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-dIvgotCq_5I/U26PgulkViI/AAAAAAAFgws/5g1JHUR3sCA/s72-c/20140510_105601.jpg)
Hini ni moja ya kibanda kati ya vibanda vingi vinavyotumika kupimzikia abiria wa usafiri wa daladala pindi wasubiriapo usafiri huo kwenye maeneo mbali mbali ya vituo vya daladala hapa jijini Dar.lakini tofauti na maeneo mengine,kituo hiki ambacho kipo pale Sinza Makaburi,kimeondolea sehemu husika na kuwekwa juu ya mtaro wa maji katika eneo hilo kama Kamera ya Globu ya Jamii ilivyoweza kukinasa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Jan
10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjJw0oxHTWOPVCxcDMqJdKpgqbfBZM4JBVa7iWBQyb45-vNG7SFfXUHeJIYXL1*IoVNbhd7l4THpsgLUBSVFGvGl/CHEKANAKITIME.jpg)
KIZAAZAA SINZA MAKABURINI!
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VzpAvtDk30Y/UwUX6vL-BlI/AAAAAAAFOHw/1V8fxnikIx8/s72-c/IMG_1807.jpg)
kituo cha daladala cha marikiti zanzibar chahamia michenzani na mnazi mmoja
![](http://2.bp.blogspot.com/-VzpAvtDk30Y/UwUX6vL-BlI/AAAAAAAFOHw/1V8fxnikIx8/s1600/IMG_1807.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4gtj6y_ioUo/UwUYJ5jk44I/AAAAAAAFOH0/DduTi2ws6-I/s1600/IMG_1809.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C8H9e7pwH4c/UwUYPxbjdvI/AAAAAAAFOH8/u4-FWfKm-ak/s1600/IMG_1811.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iT7my4oVqAo/Uvtv_wApzeI/AAAAAAAAjh8/RQoCqKqIoXY/s72-c/IMG_3369.jpg)
VIONGOZI WA KINONDONI MNALIONA HILI; KITUO CHA DALADALA CHA BIAFRA CHAGEUZWA DAMPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-iT7my4oVqAo/Uvtv_wApzeI/AAAAAAAAjh8/RQoCqKqIoXY/s1600/IMG_3369.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MK_VLwFyPZs/Uvtv9eCYU_I/AAAAAAAAjh0/Nm52T09EGsg/s1600/IMG_3370.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
11 years ago
Habarileo30 May
Kituo cha daladala Mwenge kufungwa
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kufunga kituo cha daladala cha Mwenge, Jumapili, Juni Mosi mwaka huu.
10 years ago
Habarileo21 Oct
Kituo cha daladala Ubungo kuzinduliwa
KITUO kipya cha daladala cha Ubungo kilichohamishiwa Kituo cha Simu, kati ya barabara ya Sam Nujoma na Sinza jijini Dar es Salaam, linatarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho kutwa. Hayo yalielezwa katika taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Ofisa Mfawidhi wake, Conrad Shio.