KIZAAZAA SINZA MAKABURINI!

Timbwili lililotokea juzi, ndiyo lile hasa linaloitwa nguo kuchanika. Maana zilianza ngumi za pande tatu. Maana ikawa hata haieleweki nani anamtandika nani, na kutokana na mkasa mzima, sisi wananchi wema ililazimika tukae pembeni tumekodoa macho, huku hatuelewi kitu gani tufanye. Sababu ya timbwili hili mimi kama raia mwema nasema lilianzishwa na ubovu wa barabara, najua wengine mtakuja kusema barabara haihusiki lakini ki ukweli...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
KITUO CHA DALADALA SINZA MAKABURINI

11 years ago
MichuziRedd's Miss Sinza 2014 Kufanyika kesho Meeda Club Sinza
11 years ago
GPL
MAZOEZI YA MISS SINZA KUANZA MEI 5 KWENYE UKUMBI WA MEEDA, SINZA
11 years ago
GPL
MTOTO AISHI MAKABURINI
11 years ago
Mtanzania07 Oct
Viboko vyatembezwa makaburini

Jiji la Mwanza
NA VICTOR BARIETY, SENGEREMA
WAJUKUU wa marehemu Sabina Ngalu (77) wa jijini Mwanza, wamecharazwa bakora na watoto wa marehemu baada ya kung’ang’ania kaburini wakitaka kupewa fedha.
Tukio hilo la aina yake lilitokea katika Kitongoji cha Nyamwanza, Kata ya Sima, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza juzi muda mfupi baada ya mwili wa marehemu kuwasili eneo la mazishi ukitokea Kanisa la Roman Catholic Parokia ya Yesu Kirsto Mfalme la mjini Sengerema.
Chanzo cha wajukuu hao zaidi ya...
10 years ago
GPL
MREMBO APELEKWA MAKABURINI, AUAWA
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mila zazua mtafaruku makaburini
11 years ago
GPL
10 years ago
GPLMAMA KANUMBA AONGOZA IBADA FUPI MAKABURINI