MAZOEZI YA MISS SINZA KUANZA MEI 5 KWENYE UKUMBI WA MEEDA, SINZA
![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZmezFz3eu3GTd9yEOWdCV85YIF9ajmqdSS7HxcP1xiuua3*O4UpS5h84SCDDpY2A59pD88pryMgCGhEJWbVD9Y/priscaclementkatikatimarabaadayakushindatajilavipajikatikamashindanoyaMissTanzania2013.jpg?width=650)
Prisca Clement (katikati) mara baada ya kushinda taji la vipaji katika mashindano ya Miss Tanzania 2013. Na Mwandishi Wetu MAZOEZI ya warembo watakaowania taji la urembo la Sinza, Miss 2014 yataanza Mei 5 kwenye ukumbi wa Meeda uliopo Sinza Mori na Lufungila jijini Dar es Salaam. Taji la Miss Sinza linashikiliwa na Miss Tanzania, Prisca Clement alimaliza katika hatua ya 10 bora katika mashindano ya mwaka jana ya Miss...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRedd's Miss Sinza 2014 Kufanyika kesho Meeda Club Sinza
10 years ago
MichuziSEND OFF PARTY YA NOREEN MHINA YAFANA KATIKA UKUMBI WA DELUXE SINZA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-l_iETpzW-GA/U33Aj1bD54I/AAAAAAAFkbo/Ix8L8dRxMgM/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Warembo, wadhamini watakiwa Miss Sinza
![](http://4.bp.blogspot.com/-l_iETpzW-GA/U33Aj1bD54I/AAAAAAAFkbo/Ix8L8dRxMgM/s1600/unnamed+(21).jpg)
Waandaaji wa mashindano ya kumsaka mrembo wa Sinza, Miss 2014 wametoa wito kwa wasichana wenye vigezo vya kuwania taji la mwaka huu kujitokeza katika mazoezi yanayoendelea kwenye ukumbi wa Meeda Club uliopo katika barabara ya Sinza Mori na Lufungila jijini.
Akizungumza jijini jana, Muandaaji wa mashindano hayo, Majuto Omary alisema kuwa lengo lao ni kuwa na warembo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjk6NZ*8BOvA7DVo9GaqN5blQOjA4YgCddSdytBRnOVF1wzUhKpuCJEolEhwsfRq12dNPXz32nRWZi2pS6tA4F-/BACKAMANI.jpg)
MISS SINZA 2001 NA SKENDO YA PICHA ZA UTUPU!
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...
10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
11 years ago
Habarileo15 Jun
Hospitali Sinza yalemewa
HOSPITALI ya Sinza katika Manispaa ya Kinondoni inakabiliwa na msongamano mkubwa unaodaiwa kuchangia kuzorota utoaji wa huduma kwa wagonjwa. Diwani wa Kata ya Sinza, Renatus Pamba alitoa taarifa hiyo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani la manispaa hiyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/iCrW3tFw9v8/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjJw0oxHTWOPVCxcDMqJdKpgqbfBZM4JBVa7iWBQyb45-vNG7SFfXUHeJIYXL1*IoVNbhd7l4THpsgLUBSVFGvGl/CHEKANAKITIME.jpg)
KIZAAZAA SINZA MAKABURINI!