Warembo, wadhamini watakiwa Miss Sinza
![](http://4.bp.blogspot.com/-l_iETpzW-GA/U33Aj1bD54I/AAAAAAAFkbo/Ix8L8dRxMgM/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Miss Sinza 2013 Prisca Clement katikati mara baada ya kushinda taji la vipaji katika mashindano ya Miss Tanzania 2013.
Waandaaji wa mashindano ya kumsaka mrembo wa Sinza, Miss 2014 wametoa wito kwa wasichana wenye vigezo vya kuwania taji la mwaka huu kujitokeza katika mazoezi yanayoendelea kwenye ukumbi wa Meeda Club uliopo katika barabara ya Sinza Mori na Lufungila jijini.
Akizungumza jijini jana, Muandaaji wa mashindano hayo, Majuto Omary alisema kuwa lengo lao ni kuwa na warembo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZmezFz3eu3GTd9yEOWdCV85YIF9ajmqdSS7HxcP1xiuua3*O4UpS5h84SCDDpY2A59pD88pryMgCGhEJWbVD9Y/priscaclementkatikatimarabaadayakushindatajilavipajikatikamashindanoyaMissTanzania2013.jpg?width=650)
MAZOEZI YA MISS SINZA KUANZA MEI 5 KWENYE UKUMBI WA MEEDA, SINZA
11 years ago
MichuziRedd's Miss Sinza 2014 Kufanyika kesho Meeda Club Sinza
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Silaa awafunda warembo Miss Ilala
MSTAHIKI Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa, amewataka warembo wanaowania katika taji la Miss Ilala 2014, kuhakikisha wanatambua urembo ni ajili, hivyo waweze kuthamini uwepo wao katika shindano hilo....
11 years ago
GPLWAREMBO 20 KUCHUANA MISS SHINYANGA 2014
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Warembo 17 mazoezini Miss Tabata 2014
WAREMBO 17 wamejitokeza kushiriki shindano la kumtafuta Redd’s Miss Tabata 2014. Mratibu wa shindano hilo, Joseph Kapinga, alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa, warembo hao wanaendelea na mazoezi katika...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Warembo 16 kuonyeshana kazi Miss Tabata
WAREMBO 16 wanatarajiwa kushiriki kwenye kinyang’anyiro cha kumtafuta Miss Tabata 2014 ambacho kimepangwa kufanyika katika Ukumbi wa Da’ West Park jijini Dar es Salaam Juni 6. Mratibu wa shindano hilo,...
10 years ago
MichuziWAREMBO MISS TANZANIA 2014 WAWASILI KAMBINI
11 years ago
Mwananchi25 May
Mchujo wabakiza warembo 16 kinyang’anyiro Miss Tabata
10 years ago
MichuziWAREMBO WA MISS TANZANIA 2014 WAWASILI KAMBINI LEO
Warembo hao waliowasdili kwa muda tofauti kuanzaia saa 12 alfajiri ya leo na kupokelewa na waandaaji wa Miss Tanzania katika hoteli ya JB Belmont iliyopo katikati ya jiji la maraha la Dar.
Warembo kutoka Kanda ya Ziwa walitia fora pale warembo hao walipowasili kambini hapo wakiwa ndani...