Hospitali Sinza yalemewa
HOSPITALI ya Sinza katika Manispaa ya Kinondoni inakabiliwa na msongamano mkubwa unaodaiwa kuchangia kuzorota utoaji wa huduma kwa wagonjwa. Diwani wa Kata ya Sinza, Renatus Pamba alitoa taarifa hiyo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani la manispaa hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDUKA LA NAKIETE LATOA MSAADA HOSPITALI YA SINZA
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Paul Makonda Akipokea Msaada kutoka Kwa Mkurugenzi wa Duka la Dawa la Nakiete Bi Batilda.Duka la Dawa la Nakiete Limetoa msaada katika Hospitali ya Sinza.Vitu Mbalimbali vilitolewa na duka hilo vyenye Dhamani ya Shilingi milioni 6.Mkurugenzi wa Nakiete Akieleza zaidi kuhusu msaada huo amesema hiyo ni sehemu ya faida waliyopata kwa Mwaka uliopita wakaona ni vema kurudisha sehemu ya faida hiyo kwa jamii.Alisema Hospitali inakabiliwa na changaamoto nyingi lakini...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi NMB waifanyia usafi Hospitali ya Sinza, Palestina


9 years ago
Michuzi
Wafanyakazi NMB Waifanyia Usafi Hospitali ya Sinza, Parestina jijini Dar.


11 years ago
MichuziFARIDA FOUNDATION YATOA MISAADA HOSPITALI YA PALESTINA SINZA NA KWA WALEMAVU ENEO LA UBUNGO DARAJANI
11 years ago
GPL
MAZOEZI YA MISS SINZA KUANZA MEI 5 KWENYE UKUMBI WA MEEDA, SINZA
Prisca Clement (katikati) mara baada ya kushinda taji la vipaji katika mashindano ya Miss Tanzania 2013. Na Mwandishi Wetu
MAZOEZI ya warembo watakaowania taji la urembo la Sinza, Miss 2014 yataanza Mei 5 kwenye ukumbi wa Meeda uliopo Sinza Mori na Lufungila jijini Dar es Salaam. Taji la Miss Sinza linashikiliwa na Miss Tanzania, Prisca Clement alimaliza katika hatua ya 10 bora katika mashindano ya mwaka jana ya Miss...
11 years ago
MichuziRedd's Miss Sinza 2014 Kufanyika kesho Meeda Club Sinza
10 years ago
MichuziMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME
5 years ago
Michuzi
WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI



Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.
Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Chama cha...
10 years ago
Vijimambo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
19-February-2025 in Tanzania