FARIDA FOUNDATION YATOA MISAADA HOSPITALI YA PALESTINA SINZA NA KWA WALEMAVU ENEO LA UBUNGO DARAJANI
Bi Farida Abdul Akikabidhi bandeji kwa ajili ya kufungia wagonjwa kwa Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle
Bi Farida Abdul akimuonyesha kaimu Mganga mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle Vifaa ambavyo vimeletwa kama msaada kwenye Hospitali hiyo.Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na Viti vya magurudumu vitatu ambavyo vitasaidia kubebea wagonjwa,Bandeji za kufungia vidonda,Ndoo za kuwekea taka,na vinginevyo.
Hivi ni viti Vitatu vya kubebea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeBvhpvmXxeT*79IVxS5HF6hIUcQhD7rwImstdNZ6zZdg8vPRVg8avvTJJ3khNqFbe7p-9OVcx2Nj29lkVPhdq1K/1.jpg?width=650)
FARIDA FOUNDATION WAMWAGA MISAADA KWA WATOTO WALEMAVU
11 years ago
GPLFARIDA AZINDUA FARIDAS FOUNDATION KUSAIDIA WALEMAVU
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi NMB waifanyia usafi Hospitali ya Sinza, Palestina
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tes8G59CHIk/VmfzVfTKEmI/AAAAAAAAFps/t86A9C1AMbM/s640/IMG_0148.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x0uOVXjB4Lk/VmfzUMCHS8I/AAAAAAAAFoA/VROu1eVtwSM/s640/IMG_0129.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJAJnkWLtGejyig2eUK14jra4LHwyoPNaqjr3Fnd*eg2jNvyRz80i4VaGHz6Iu65t8PVBZpVchXdldv86if4C40n/ajali4.jpg)
AJALI LA LORI UBUNGO DARAJANI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gTcb5MleN6E/U42DjcJBVmI/AAAAAAAAOyE/hlQx4T5_J_o/s72-c/FOU1.jpg)
TAASISI YA FARIDA FOUNDATION KUFANYA UZINDUZI TAREHE 28/06/2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-gTcb5MleN6E/U42DjcJBVmI/AAAAAAAAOyE/hlQx4T5_J_o/s1600/FOU1.jpg)
Taasisi ya Faridas foundation inatarajia kufanya uzinduzi wake rasmi siku ya tar 28/6/2014 siku ya jumamosi katika ukumbi wa crystal hall, blue pearl hotel, ubungo plaza kuanzia saa 6 hadi 12 jioni. Katika siku hyo taasisi itatoa misaada mbali mbali kwa walemavu ikiwemo baiskeli za walemavu, vyerehani, vifaa vya shule na vifaa vingine muhimu kwa walemavu ukiwa kama mdau au mtanzania unayeguswa na walemavu na ungependa kuhudhuria siku hyo maalumu kadi zinapatikana kwa mchango wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VKQ7SWoGfws/UxWA1cDxofI/AAAAAAAFQ_4/TkHMpYEH97A/s72-c/IMG-20140228-WA0013.jpg)
Taasisi ya Farida Foundation yawawezesha wanafunzi wenye mtindio wa ubongo shule ya msingi Tabata jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-VKQ7SWoGfws/UxWA1cDxofI/AAAAAAAFQ_4/TkHMpYEH97A/s1600/IMG-20140228-WA0013.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl*-RG6fh0GcysD21TSa3aJS1Ju-Z1pAru-PnyaFTA1acncvgnqPfb7BETftQ*aZ--w3SaBEcnMVpL9089PKgfiS/1AJALI1.jpg?width=650)
HII IMETOKEA MCHANA HUU ENEO LA MANZESE DARAJANI JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esGl*LMLV2UwRv42TSFTJNpA0lLHyvFp9CE2GekSSt9C17kTWQ3pPp1FvZECjcFLnyI2CV4hi9pLS0OCFW1bkllI/2.jpg)
11 years ago
MichuziWASANII WA BONGO MOVIE KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA MABIBO BEER WATEMBELEA HOSPITALI YA MWANANYAMALA LEO NA KUTOA MISAADA KWA WAGONJWA.