WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
Baadhi ya picha za wauguzi katika maadhimisho ya Siku ya wauguzi Duniani .
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya wametoa zawadi ya Cherehani ikiwa ni kuadhimisha siku ya wauguzi Duniani.
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.
Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Chama cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-OZ6hPGxFBfc/VjG_MWanETI/AAAAAAAAWDU/3nZkknZt1EM/s72-c/IMG_8842%2B%25281024x683%2529.jpg)
NMB MOSHI WATOA POLE KWA WAGONJWA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC.
![](http://3.bp.blogspot.com/-OZ6hPGxFBfc/VjG_MWanETI/AAAAAAAAWDU/3nZkknZt1EM/s640/IMG_8842%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qn3rlwF9Muw/VjG_MN0yJ7I/AAAAAAAAWDQ/Sd5qg-BCeCw/s640/IMG_8849%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DkKUQlB7RlQ/VjG_LvsxEtI/AAAAAAAAWDM/UMwx0AreSdc/s640/IMG_8851%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PNfJvWN0TXc/VjG_Q9D0tEI/AAAAAAAAWDk/7a2lq-Zih04/s640/IMG_8869%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fUjmLFnsutc/VjG_RRyBSZI/AAAAAAAAWDo/wm0VTMWhSXw/s640/IMG_8871%2B%25281024x683%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Kigwangwalla atembelea ujenzi wa hospitali ya rufaa kanda ya kusini
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa (katikati) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) alipotembelea eneo la Mikindani inapojengwa hospitali ya mpya ya kanda ya kusini, mkoani Mtwara.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akimuuliza swali Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara Dkt. Shaibu...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Nani anaharibu huduma Hospitali ya rufaa Mbeya?
10 years ago
MichuziWaziri wa Afya na ustawi wa Jamii akabidhi tuzo na kutembelea Hospitali ya Rufaa kanda ya Kati singida
10 years ago
MichuziNMB yatoa Msaada kwa Hospitali ya Rufaa, Dodoma
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni magodoro 22 na mashuka 422 ambayo kwa maelezo ya mganga mkuu wa hospitali hiyo – Dr Ezekiel Mpuya vitasaidia sana kuweka mazingira rafiki kwa wagonjwa wanaolazwa hospitalini hapo hususani akina mama wajawazito...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x6V0EVKduS4/UwSaVUkM6iI/AAAAAAAFN-E/gfK1qMTURGg/s72-c/unnamed+(70).jpg)
HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC YAZINDUA HUDUMA YA UPASUAJI KWA NJIA YA DARUBINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-x6V0EVKduS4/UwSaVUkM6iI/AAAAAAAFN-E/gfK1qMTURGg/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEIrdVjttXU/UwSaVh_MXnI/AAAAAAAFN-M/qlqYOSKEnA8/s1600/unnamed+(71).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EOXXW9UwPc/UwSaVlVGcqI/AAAAAAAFN-I/gKx_Ng0fuIY/s1600/unnamed+(72).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--H3LicZ7Xhk/UwSaWLz-swI/AAAAAAAFN-g/5RS53nqJN-M/s1600/unnamed+(73).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eijvodRCjnU/XsZ2UD12-sI/AAAAAAAAQuo/08rrOpPvgJkTXeBXFkDvo53WmteeBdIWQCLcBGAsYHQ/s72-c/MASANGWA%2B3.jpg)
KANISA LA KKKT WATOA VIFAA KINGA KWA HOSPITALI YA MT.MERU
Na.Vero Ignatus.Arusha
Kamati ya kusaidia ya wasijiweza (Diakonia)kutoka kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini kati Usharika wa Engarenarok mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wametoa msaada wa barakoa 1650 katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Arusha Mount Meru
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo hapo jana ,Askofu wa Dayosisi ya kaskazini kati Dkt. Solomon Jacob Masangwa alisema kuwa madaktari na wauguzi ni rasilimali muhimu sana ,hivyo kumuandaa daktari mmoja ni garama...
10 years ago
MichuziMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME