NMB MOSHI WATOA POLE KWA WAGONJWA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB katika matawi ya Nelson Mandela na Mawenzi wakiwasili katika hosptali ya rufaa ya KCMC .
Meneja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela ,Emanuel Kashusho akizungumza jambo na afisa habari wa hospitali ya rufaa ya KCMC Gabriel Chiseo.(Kulia).Afisa Uhusiano wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC akitoa maelezo kwa wafanyakazi wa Benki ya NMB,matawi ya Moshi mjini waliotembelea hosptalini hapo kutoa zawadi na kuwapa pole wagonjwa.Wafanyakazi wa NMB Moshi wakimsikiliza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA MOSHI AFANYA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC
Mkurugenzi mkuu wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Giliard Masenga (kulia) akitoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayotajwa kuwa changamoto kwa...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Novatus Makunga afanya ziara hospitali ya rufaa ya KCMC
11 years ago
MichuziHOSPITALI YA RUFAA YA KCMC YAZINDUA HUDUMA YA UPASUAJI KWA NJIA YA DARUBINI
5 years ago
MichuziWAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya wametoa zawadi ya Cherehani ikiwa ni kuadhimisha siku ya wauguzi Duniani.
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.
Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Chama cha...
10 years ago
MichuziNMB yatoa Msaada kwa Hospitali ya Rufaa, Dodoma
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni magodoro 22 na mashuka 422 ambayo kwa maelezo ya mganga mkuu wa hospitali hiyo – Dr Ezekiel Mpuya vitasaidia sana kuweka mazingira rafiki kwa wagonjwa wanaolazwa hospitalini hapo hususani akina mama wajawazito...
9 years ago
MichuziDKT. REGINALD MENGI KUISADIA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akizungumza jambo mara baada ya utamburisho wa mkurugenzi huyo.Dkt Mengi akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC.Mkurugenzi mkuu wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Giliard Masenga akizungumza kuhusu ujenzi wa ngazi kuu za kungilia wodini katika hosptali ya Rufaa ya KCMC ambazo ujenzi wake uligharimu kiasi cha sh Mil 30 ,Fedha ambazo zilitolewa na Dkt Mengi.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
VijimamboNMB MOSHI WATOA KIFUNGUA KINYWA KWA WATEJA WAO
Baadhi ya wateja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela ,Moshi mjini wa wakipata chai ya asubuhi iliyoandaliwa na matawi ya Benki hiyo ya Nelson Mandela na Mawenzi yaliyopo mjini Moshi,Mmoja wa wafanyakazi wa Benki hiyo akisaidia kutoa huduma ya chai kwa wateja waliofika katika tawi la Nelson Mandela kwa ajili ya kupata kifungua kinywa leo Asubuhi.Mwakilishi...
9 years ago
StarTV17 Dec
Wagonjwa wadai kushindwa kumudu gharama Matibabu Kcmc Moshi
Gharama kubwa za matibabu katika hospitali ya rufaa ya KCMC mjini Moshi mkoani Kilimanjaro zinadaiwa kuwaweka njia panda baadhi ya wagonjwa wanaofika kupata huduma za tiba hospitalini hapo.
Baadhi ya wagonjwa hulazimika kutoroka hospitalini hapo na wengine kutelekezwa na ndugu zao kutokana na gharama kubwa wanazopaswa kulipia.
Mtoto Frank aliyelazwa katika wodi ya wagonjwa wa idara ya Upasuaji ambaye alifanyiwa upasuaji wa tumbo hivi Karibu anatajwa kuwa ni miongoni mwa wagonjwa...
5 years ago
MichuziTHBUB yatembelea wagonjwa hospitali ya rufaa Dodoma
Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake, Enid Chiwanga (kushoto) akiongea na ujumbe wa THBUB (mbele yake) uliotembelea Hospitali ya rufaa jijini Dodoma mapema leo Machi 6, 2020. Ujumbe ...