Nani anaharibu huduma Hospitali ya rufaa Mbeya?
>Mwaka jana, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid akiwa na wadhifa wa naibu waziri kwenye wizara hiyo, alitembelea mkoa wa Mbeya ambako alizungumza na Wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa Mbeya (MRH).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s640/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-iSku1E-A4/Xrr64wajdSI/AAAAAAALp_Q/v9ggvbcwqQAgHJ79p3D8dTN-pzby39uZwCLcBGAsYHQ/s640/46253368-5df7-4c6f-8fc6-2db91d438d1f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fABH6vnVGNA/Xrr64IqKMII/AAAAAAALp_I/SVAnEdUVZ8sWTt7s0dgvTEb4TH6RMyqlgCLcBGAsYHQ/s640/c65bc8e3-1bda-4181-bacd-fb3d35945366.jpg)
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.
Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Chama cha...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x6V0EVKduS4/UwSaVUkM6iI/AAAAAAAFN-E/gfK1qMTURGg/s72-c/unnamed+(70).jpg)
HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC YAZINDUA HUDUMA YA UPASUAJI KWA NJIA YA DARUBINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-x6V0EVKduS4/UwSaVUkM6iI/AAAAAAAFN-E/gfK1qMTURGg/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEIrdVjttXU/UwSaVh_MXnI/AAAAAAAFN-M/qlqYOSKEnA8/s1600/unnamed+(71).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EOXXW9UwPc/UwSaVlVGcqI/AAAAAAAFN-I/gKx_Ng0fuIY/s1600/unnamed+(72).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--H3LicZ7Xhk/UwSaWLz-swI/AAAAAAAFN-g/5RS53nqJN-M/s1600/unnamed+(73).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4H957UjvOo/VZYaY-m6MNI/AAAAAAAAtI0/CAkGjtsT6nU/s72-c/unnamedh1.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Waziri Ummy Mwalimu avamia Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga, kukagua utoaji wa huduma za afya leo
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wahudumu wa afya (jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha la dawa katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza mchana wa leo Disemba 20, 2015.
-Atoa wiki mbili wawe wamefunga mashine ya kukusanya mapato kwa njia ya Kielektroniki ili kudhitibiti upotevu wa mapato yanayotokana na wananchi kuchangia huduma za afya.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
9 years ago
Michuzi20 Dec
WAZIRI UMMY MWALIMU KATIKA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO MKOANI TANGA, KUKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA LEO
![IMG-20151220-WA0012](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/2jqSTb6rwwHyDPhhDJDSXM_Y9GTLhKQG3al0Byv191LsT6SJ3AF_f9Ns_75ry3stFkDjSojEMXG_c-9jJcfIxvraqQNFWRf2bd0A7-PJd7TS9I1S0bTuzt8uUAWN=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg)
![IMG-20151220-WA0019](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2FRm_TTrk97vFdEwTUPV_oDUPzwmBxAJrp3BDakrQ2l83AnH1aXG-RSnQsZJ-_u6n6AEYyVl2A26mjFskppUmLIcY3hZvQPTK4GFV3fXeyVzbLoDKL1Bd1MRGIQk=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg)
10 years ago
Habarileo21 Feb
Hospitali za rufaa mikoa 25 kuboreshwa
HOSPITALI 26 za rufaa katika mikoa 25 nchini, zitafanyiwa maboresho ili zitoe huduma bora za afya kupitia mradi wa Japan International Co-operative Agency (JICA) kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
11 years ago
MichuziMTWARA KUJIVUNIA HOSPITALI YA RUFAA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YmWYGFb2uPw/Xr0hpLdKAJI/AAAAAAALqLg/2_r1i1G1togzEeff70Y4EA62IMV5cmvcACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TAMKO LA TUME KUHUSU HOSPITALI YA RUFAA MWANANYAMALA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YmWYGFb2uPw/Xr0hpLdKAJI/AAAAAAALqLg/2_r1i1G1togzEeff70Y4EA62IMV5cmvcACLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Kusikitishwa na taarifa ya vitendo vya baadhi ya Madaktari na Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mwananyamala kuwanyanyapaa na kuwasumbua Wagonjwa
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesikitishwa na taarifa ya vitendo vinavyofanywa na baadhi ya Madaktari na Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mwananyamala vya kuwanyanyapaa na kuwasumbua wagonjwa wanaoenda kupata matibabu kwa kuwataka wagonjwa hao kwenda kufanya vipimo vya Korona kabla ya kuanza kupata matibabu.
Tume...