KANISA LA KKKT WATOA VIFAA KINGA KWA HOSPITALI YA MT.MERU
![](https://1.bp.blogspot.com/-eijvodRCjnU/XsZ2UD12-sI/AAAAAAAAQuo/08rrOpPvgJkTXeBXFkDvo53WmteeBdIWQCLcBGAsYHQ/s72-c/MASANGWA%2B3.jpg)
Na.Vero Ignatus.Arusha
Kamati ya kusaidia ya wasijiweza (Diakonia)kutoka kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini kati Usharika wa Engarenarok mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wametoa msaada wa barakoa 1650 katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Arusha Mount Meru
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo hapo jana ,Askofu wa Dayosisi ya kaskazini kati Dkt. Solomon Jacob Masangwa alisema kuwa madaktari na wauguzi ni rasilimali muhimu sana ,hivyo kumuandaa daktari mmoja ni garama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 May
KKKT watoa tamko Kanisa la Mwanza
5 years ago
MichuziWORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA
Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...
5 years ago
MichuziWafanyakazi Wanawake wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii watoa msaada wa vifaa tiba Hospitali ya Palestina
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s640/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-iSku1E-A4/Xrr64wajdSI/AAAAAAALp_Q/v9ggvbcwqQAgHJ79p3D8dTN-pzby39uZwCLcBGAsYHQ/s640/46253368-5df7-4c6f-8fc6-2db91d438d1f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fABH6vnVGNA/Xrr64IqKMII/AAAAAAALp_I/SVAnEdUVZ8sWTt7s0dgvTEb4TH6RMyqlgCLcBGAsYHQ/s640/c65bc8e3-1bda-4181-bacd-fb3d35945366.jpg)
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.
Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Chama cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KcG0dt8xZeU/XrRR3RSOM8I/AAAAAAALpa8/GZbb_Pn954IwbrfSjgVobtbNc9YQ5QingCLcBGAsYHQ/s72-c/6357f75f-89dd-430e-9b83-52addcf6ee5e.jpg)
UVIKASA YAKABIDHI PIKIPIKI 32 NA VIFAA KINGA KWA VIJANA.
Uongozi wa Umoja wa Vijana Karagwe Saccos (UVIKASA) kupitia Mlezi wake Mbunge wa Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent L. Bashungwa umekabidhi pikipiki 32, pamoja na Vifaa kinga dhidi ya Corona kwa vijana wanachama wa Saccos hiyo ili kuwaendeleza kiuchumi.
Tukio hilo limefanywa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti mapema Mei 07, 2020 katika Viwanja vya Ofisi za CCM Karagwe, na kushuhudiwa na Viongozi wa Chama na Serikali, ikiwa ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s72-c/ddd2AAA-768x633.jpg)
KAMPUNI YA ASAS AYATOA MAFUNZO NA KUGAWA VIFAA KINGA DHIDI YA KORONA KWA BODABODA NA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s640/ddd2AAA-768x633.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/dddAAA-1024x681.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0699AAA-1024x681.jpg)
Afisa wa Usalama Mahali pa Kazi kutoka kampuni ya ASAS, Cosmas Charles akitoa elimu kwa madereva bajaji juu ya kunawa mikono kujinga na maambukizi ya virus vya corona kwenye kituo cha bajaji cha M.r hotel kilichoko manispaa ya Iringa.
……………………………….
NA DENIS MLOWE. IRINGA
KAMPUNI ya Asas imegawa msaada wa vifaa kinga na mafunzo dhidi ya kujinga na Virusi Vya Corona kwenye vituo vya Bodaboda na Bajaji manispaa ya Iringa.
Msaada huo wa ndoo maalum za kunawihia mikono na sabuni ‘Sanitezer’...
5 years ago
CCM BlogTAASISI YA ANDALUSIA NA HANDS HAPPY ZAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KINGA DHIDI YA CORONA KWA WILAYA YA ILALA
Kiongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Andalusia pamoja na Happy Hands, Zainab Bunamy (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa vya kinga dhidi ya Corona kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bJ-GOrE1gf8/XsPKaDEee_I/AAAAAAALqws/TuAsa4LKaOEZPDOIZmj44036YCmv0wW2QCLcBGAsYHQ/s72-c/63e02d2f-7a57-4d07-ad5d-f846420366f7.jpg)
UZALISHAJI WA VAZI KINGA (PPE) MUHIMBILI WAONGEZEKA KWA 400% HUKU MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA (TMDA) IKIRIDHIA NA KULITAMBUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bJ-GOrE1gf8/XsPKaDEee_I/AAAAAAALqws/TuAsa4LKaOEZPDOIZmj44036YCmv0wW2QCLcBGAsYHQ/s640/63e02d2f-7a57-4d07-ad5d-f846420366f7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/82d2bf42-47e1-4cec-ab51-b31ce47d2d76.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3969e8fd-1af8-4d67-a70b-bb5ab0b9a4d1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/73764541-ab78-4998-a176-b686d574513a.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H_C5pUjUI88/VZj1jv8YxBI/AAAAAAAHnCs/6-x6BGyKuPg/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
JK ahudhuria Maadhimisho ya miaka125 ya kanisa la KKKT Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-H_C5pUjUI88/VZj1jv8YxBI/AAAAAAAHnCs/6-x6BGyKuPg/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)