UVIKASA YAKABIDHI PIKIPIKI 32 NA VIFAA KINGA KWA VIJANA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KcG0dt8xZeU/XrRR3RSOM8I/AAAAAAALpa8/GZbb_Pn954IwbrfSjgVobtbNc9YQ5QingCLcBGAsYHQ/s72-c/6357f75f-89dd-430e-9b83-52addcf6ee5e.jpg)
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Uongozi wa Umoja wa Vijana Karagwe Saccos (UVIKASA) kupitia Mlezi wake Mbunge wa Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent L. Bashungwa umekabidhi pikipiki 32, pamoja na Vifaa kinga dhidi ya Corona kwa vijana wanachama wa Saccos hiyo ili kuwaendeleza kiuchumi.
Tukio hilo limefanywa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti mapema Mei 07, 2020 katika Viwanja vya Ofisi za CCM Karagwe, na kushuhudiwa na Viongozi wa Chama na Serikali, ikiwa ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e5sA_VcXjHE/Ux9blGGkN9I/AAAAAAAFS-A/Rd2DwAlyix0/s72-c/unnamed+(54).jpg)
NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iad4jOhX0Z2EiJk1WcVBIomoq5f76uBYcbK6J6qOorK9r1CmcF35Iyv2dceGIBb9VvUsJ7*xCOmdZKVklMA2ozlk34ZRCGsP/1.jpg?width=650)
STAR TIMES YAKABIDHI PIKIPIKI KWA MSHINDI DROO YA PILI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s72-c/e1.jpg)
farm afrika yakabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za Babati na Mbulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s1600/e1.jpg)
Farm Africa kupitia mradi wake Usimamizi Endelevu Mfumo wa Ikolojia wa Msitu wa Nou (SNFEMP) na kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za wilaya za Mbulu na Babati. Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano Akipokea pikipiki hizo katika hafla fupi iliyofanyika ofisi ya Farm Africa, Dareda Babati, Ijumaa tarehe 14 Februari, mwakilishi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Babati, Bibi Zainabu Mnubi alisema...
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Taasisi ya JSI Â yakabidhi pikipiki 10 kwa maafisa wa afya Unguja na Pemba
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (kushoto) akimkabidhi Pikipiki Afisa wa Afya wa Wilaya Nd. Khamis Daud Ali katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Maruhubi.
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Jumla ya Pikipiki 10 zenye thamani ya Sh.Million 42 zimegawiwa kwa Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba.
Pikipiki hizo ni Msaada kutoka Shirika la Watu wa Marekani USAID kupitia Taasisi ya JSI wenye lengo la kusaidia Sekta ya Afya Zanzibar.
Akikabidhi Pikipiki hizo Naibu...
10 years ago
MichuziBENKI YA NMB YAKABIDHI PIKIPIKI TANO KWA JESHI LA POLISI — DODOMA
Pikipiki hizo zilizokabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh Mathias Chikawe na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, zina thamani ya shilingi Milioni 10.
Waziri Chikawe alishukuru NMB kwa kuona umuhimu wa kusaidia jeshi la polisi na hivyo kuwataka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eijvodRCjnU/XsZ2UD12-sI/AAAAAAAAQuo/08rrOpPvgJkTXeBXFkDvo53WmteeBdIWQCLcBGAsYHQ/s72-c/MASANGWA%2B3.jpg)
KANISA LA KKKT WATOA VIFAA KINGA KWA HOSPITALI YA MT.MERU
Na.Vero Ignatus.Arusha
Kamati ya kusaidia ya wasijiweza (Diakonia)kutoka kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini kati Usharika wa Engarenarok mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wametoa msaada wa barakoa 1650 katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Arusha Mount Meru
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo hapo jana ,Askofu wa Dayosisi ya kaskazini kati Dkt. Solomon Jacob Masangwa alisema kuwa madaktari na wauguzi ni rasilimali muhimu sana ,hivyo kumuandaa daktari mmoja ni garama...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2_jZq96JcJg/UwJQXseZgxI/AAAAAAAFNp4/bVYlMEHC1L0/s72-c/New+Picture+(3).png)
FARM AFRICA YAKABIDHI PIKIPIKI 10 KWA HALMASHAURI ZA WILAYA ZA BABATI NA MBULU MKOANI MANYARA
Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2_jZq96JcJg/UwJQXseZgxI/AAAAAAAFNp4/bVYlMEHC1L0/s1600/New+Picture+(3).png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s72-c/ddd2AAA-768x633.jpg)
KAMPUNI YA ASAS AYATOA MAFUNZO NA KUGAWA VIFAA KINGA DHIDI YA KORONA KWA BODABODA NA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s640/ddd2AAA-768x633.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/dddAAA-1024x681.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0699AAA-1024x681.jpg)
Afisa wa Usalama Mahali pa Kazi kutoka kampuni ya ASAS, Cosmas Charles akitoa elimu kwa madereva bajaji juu ya kunawa mikono kujinga na maambukizi ya virus vya corona kwenye kituo cha bajaji cha M.r hotel kilichoko manispaa ya Iringa.
……………………………….
NA DENIS MLOWE. IRINGA
KAMPUNI ya Asas imegawa msaada wa vifaa kinga na mafunzo dhidi ya kujinga na Virusi Vya Corona kwenye vituo vya Bodaboda na Bajaji manispaa ya Iringa.
Msaada huo wa ndoo maalum za kunawihia mikono na sabuni ‘Sanitezer’...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NSzqhiwUFCs/XmIdOCc7CBI/AAAAAAALhcg/fM0Cn9houFAZWXSm_iIiNmZb6JJJLinmwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2033.jpg)
NMB yakabidhi vifaa kwa Wilaya ya Hai na Ilala
Jijini Dar es Salaam, NMB imetoa msaada yenye thamani ya Sh. Mil. 15 kwa Shule ya Sekondari Tambaza, iliyopo Upanga na Kituo cha Afya Pugu Kajiungeni wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wakati Mkoani Kilimanjaro imekabidhi vifaa tiba kwa...