STAR TIMES YAKABIDHI PIKIPIKI KWA MSHINDI DROO YA PILI
![](http://api.ning.com:80/files/Iad4jOhX0Z2EiJk1WcVBIomoq5f76uBYcbK6J6qOorK9r1CmcF35Iyv2dceGIBb9VvUsJ7*xCOmdZKVklMA2ozlk34ZRCGsP/1.jpg?width=650)
Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi funguo ya pikipiki mshindi wa droo ya pili ya mwezi wa Aprili, Bi Janemerry Suraphel, mkazi wa Dar es Salaam, katika hafla fupi iliyofanyika katika duka la kampuni hiyo zilizopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kujiunga na bahati nasibu hiyo wateja wa StarTimes wanatakiwa kulipia kifurushi kuanzia shilingi 10,000/- na kuendelea. Makamu wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Yyq9zrGrKEhxTi6y1erALV-OJt1zzsTbfBenjiTGztxbo5KTaujfR0NJaBC8otHy8N*yQJcYvHJF-b5hb44dfyvJpIfW3bKe/1.jpg?width=650)
STARTIMES YAMKABIDHI MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA PIKIPIKI KTK DROO YA PILI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UhKyWtnziGA/VbjAq8hNXEI/AAAAAAAC9DA/C-WqAmop7Y4/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UhKyWtnziGA/VbjAq8hNXEI/AAAAAAAC9DA/C-WqAmop7Y4/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6xAytUAla6U/Vf_nfscBaJI/AAAAAAAH6gA/K0RYn3prS-E/s72-c/EXIM.jpg)
BENKI YA EXIM YAPATA MSHINDI WA DROO YA PILI AKAUNTI YA MALENGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-6xAytUAla6U/Vf_nfscBaJI/AAAAAAAH6gA/K0RYn3prS-E/s640/EXIM.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KcG0dt8xZeU/XrRR3RSOM8I/AAAAAAALpa8/GZbb_Pn954IwbrfSjgVobtbNc9YQ5QingCLcBGAsYHQ/s72-c/6357f75f-89dd-430e-9b83-52addcf6ee5e.jpg)
UVIKASA YAKABIDHI PIKIPIKI 32 NA VIFAA KINGA KWA VIJANA.
Uongozi wa Umoja wa Vijana Karagwe Saccos (UVIKASA) kupitia Mlezi wake Mbunge wa Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent L. Bashungwa umekabidhi pikipiki 32, pamoja na Vifaa kinga dhidi ya Corona kwa vijana wanachama wa Saccos hiyo ili kuwaendeleza kiuchumi.
Tukio hilo limefanywa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti mapema Mei 07, 2020 katika Viwanja vya Ofisi za CCM Karagwe, na kushuhudiwa na Viongozi wa Chama na Serikali, ikiwa ni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s72-c/e1.jpg)
farm afrika yakabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za Babati na Mbulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s1600/e1.jpg)
Farm Africa kupitia mradi wake Usimamizi Endelevu Mfumo wa Ikolojia wa Msitu wa Nou (SNFEMP) na kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za wilaya za Mbulu na Babati. Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano Akipokea pikipiki hizo katika hafla fupi iliyofanyika ofisi ya Farm Africa, Dareda Babati, Ijumaa tarehe 14 Februari, mwakilishi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Babati, Bibi Zainabu Mnubi alisema...
10 years ago
MichuziBENKI YA NMB YAKABIDHI PIKIPIKI TANO KWA JESHI LA POLISI — DODOMA
Pikipiki hizo zilizokabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh Mathias Chikawe na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, zina thamani ya shilingi Milioni 10.
Waziri Chikawe alishukuru NMB kwa kuona umuhimu wa kusaidia jeshi la polisi na hivyo kuwataka...
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Taasisi ya JSI Â yakabidhi pikipiki 10 kwa maafisa wa afya Unguja na Pemba
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (kushoto) akimkabidhi Pikipiki Afisa wa Afya wa Wilaya Nd. Khamis Daud Ali katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Maruhubi.
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Jumla ya Pikipiki 10 zenye thamani ya Sh.Million 42 zimegawiwa kwa Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba.
Pikipiki hizo ni Msaada kutoka Shirika la Watu wa Marekani USAID kupitia Taasisi ya JSI wenye lengo la kusaidia Sekta ya Afya Zanzibar.
Akikabidhi Pikipiki hizo Naibu...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/115.jpg)
STAR TIMES YAJIVUNIA MABORESHO YA HUDUMA ZAKE KWA WATEJA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vANZh8yiCxJNA8j7FFB2HclaY2CyUveSlfxGpoZXAYBK9gzCpvWD6NAhGlL8IdSD-ossEtdeLLDHfqv8F*fpoQz/1.jpg?width=750)
STAR TIMES YAZINDUA CHANELI NNE ZA BURUDANI KWA MPIGO!