Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STAR TIMES YAKABIDHI PIKIPIKI KWA MSHINDI DROO YA PILI

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi funguo ya pikipiki mshindi wa droo ya pili ya mwezi wa Aprili, Bi Janemerry Suraphel, mkazi wa Dar es Salaam, katika hafla fupi iliyofanyika katika duka la kampuni hiyo zilizopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kujiunga na bahati nasibu hiyo wateja wa StarTimes wanatakiwa kulipia kifurushi kuanzia shilingi 10,000/- na kuendelea. Makamu wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STARTIMES YAMKABIDHI MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA PIKIPIKI KTK DROO YA PILI‏

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi mshindi wa droo ya kwanza ya kujishindia pikipiki ya mwezi wa Aprili, Bw Kafuku Mdaki, mkazi wa Tanga, katika hafla fupi iliyofanyika katika duka la kampuni hiyo zilizopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kujiunga na bahati nasibu hiyo wateja wa StarTimes wanatakiwa kulipia kifurushi kuanzia shilingi 10,000/- na kuendelea.… ...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA EXIM YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO

Meneja wa benki ya Exim tawi la Exim Tower, Bi. Rose Kanijo (kushoto), akikabidhi zawadi ya iPhone 6 kwa mshindi wa droo  ya kwanza ya kampeni ya Akaunti ya Malengo inayoendeshwa na benki hiyo, Bw, Prabhjot Singh, mkazi wa Dar es Salaam katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika makao makuu ya benki ya Exim jijini Dar es Salaam jana. Kampeni hiyo inayoendelea kwa miezi mitano zaidi, inalenga kuhamasisha utamaduni wa kujiwekea akiba miongoni mwa Watanzania.

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA EXIM YAPATA MSHINDI WA DROO YA PILI AKAUNTI YA MALENGO

Ofisa Masoko wa Benki ya Exim Tanzania tawi la Moshi, Bi. Elihaika Munuo (wa pili kulia), akikabidhi zawadi ya IPhone 6 kwa mshindi wa droo  ya pili ya kampeni ya Akaunti ya Malengo ya Dola za Kimarekani inayoendeshwa na benki hiyo, Bw, Rajnikant Shah, katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika tawi la benki ya hiyo Manispaa ya Moshi mwishoni mwa wiki.Wanaoshuhudia ni Meneja wa benki hiyo tawi la Moshi Bw. John Ngowi(kushoto) na Ofisa Uhusiano wa benki hiyo tawi la Moshi Philip Mtei...

 

5 years ago

Michuzi

UVIKASA YAKABIDHI PIKIPIKI 32 NA VIFAA KINGA KWA VIJANA.

Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.

Uongozi wa Umoja wa Vijana Karagwe Saccos (UVIKASA) kupitia Mlezi wake Mbunge wa Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent L. Bashungwa umekabidhi pikipiki 32, pamoja na Vifaa kinga dhidi ya Corona kwa vijana wanachama wa Saccos hiyo ili kuwaendeleza kiuchumi.

Tukio hilo limefanywa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti mapema Mei 07, 2020 katika Viwanja vya Ofisi za CCM Karagwe, na kushuhudiwa na Viongozi wa Chama na Serikali, ikiwa ni...

 

11 years ago

Michuzi

farm afrika yakabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za Babati na Mbulu


Farm Africa kupitia mradi wake Usimamizi Endelevu Mfumo wa Ikolojia wa Msitu wa Nou (SNFEMP) na kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za wilaya za Mbulu na Babati.  Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano Akipokea pikipiki hizo katika hafla fupi iliyofanyika ofisi ya Farm Africa, Dareda Babati, Ijumaa tarehe 14 Februari, mwakilishi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Babati, Bibi Zainabu Mnubi alisema...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YAKABIDHI PIKIPIKI TANO KWA JESHI LA POLISI — DODOMA

Benki ya NMB jana ilikabidhi pikipiki 5 aina ya Honda kwa jeshi la polisi kwaajili ya kusaidia kazi za kila siku za jeshi hilo katika hafla iliyofanyika nje ya ukumbi wa St. Gasper katika mkutano wa maafisa wa polisi unaoendelea mjini hapa.
Pikipiki hizo zilizokabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh Mathias Chikawe na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, zina thamani ya shilingi Milioni 10.
Waziri Chikawe alishukuru NMB kwa kuona umuhimu wa kusaidia jeshi la polisi na hivyo kuwataka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya JSI  yakabidhi pikipiki 10 kwa maafisa wa afya Unguja na Pemba

 

mahamod Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (kushoto) akimkabidhi Pikipiki Afisa wa Afya wa Wilaya Nd. Khamis Daud Ali katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Maruhubi.

Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar

Jumla ya Pikipiki 10 zenye thamani ya Sh.Million 42 zimegawiwa kwa Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba.

Pikipiki hizo ni Msaada kutoka Shirika la Watu wa Marekani USAID kupitia Taasisi ya JSI wenye lengo la kusaidia Sekta ya Afya Zanzibar. 

 Akikabidhi Pikipiki hizo Naibu...

 

9 years ago

GPL

STAR TIMES YAJIVUNIA MABORESHO YA HUDUMA ZAKE KWA WATEJA

Meneja wa Star Times Tanzania Bw,Gaspa Ngowi akizungumza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo (pichani) Balozi wa Star Time Shafii Dauda,akizungumza jambo. Shafii Dauda,akisisitiza jambo…

 

10 years ago

GPL

STAR TIMES YAZINDUA CHANELI NNE ZA BURUDANI KWA MPIGO!

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa chaneli mpya ambazo ni IROKO PLAY, IROKO PLUS, AMC SERIES na STARTIMES ZONE. Kushoto akifuatilia kwa makini uzinduzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam ni msanii wa Bongo Flava na balozi mpya wa kampuni hiyo, Nurdin Bilal au maarufu kama Shetta. ...akiendelea kufafanua.…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani