Taasisi ya JSI Â yakabidhi pikipiki 10 kwa maafisa wa afya Unguja na Pemba
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (kushoto) akimkabidhi Pikipiki Afisa wa Afya wa Wilaya Nd. Khamis Daud Ali katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Maruhubi.
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Jumla ya Pikipiki 10 zenye thamani ya Sh.Million 42 zimegawiwa kwa Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba.
Pikipiki hizo ni Msaada kutoka Shirika la Watu wa Marekani USAID kupitia Taasisi ya JSI wenye lengo la kusaidia Sekta ya Afya Zanzibar.
Akikabidhi Pikipiki hizo Naibu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NIA-xC6b1CY/VTKFrlHxp1I/AAAAAAAHR6o/kYgl5ULkc3A/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba wakabidhiwa pikipiki
10 years ago
Dewji Blog12 Jun
THPS yakabidhi Komputer kwa vituo vinane vya Afya Unguja na Pemba
Mkurugenzi Mtendaji wa THPS, Dr. Redempta Mbatia, akizungumza kabla ya kukabidhi seti za kumputer kwa vituo vya afya vinane vya Unguja na Pemba kwa ajili ya kutunzia kumbukumbu katika vituo vyao.
DR Mdahoma akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa Komputer kwa ajili ya kuwekea Kumbukumbu katika Vituo vya Afya vya Unguja na Pemba, makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya hoteli ya mazsons shangani Zanzibar.
Naibu Katibu Mku Wazara ya Afya Zanzibar Halima Maulid...
10 years ago
MichuziTHPS Yakabidhi Komputa kwa Vituo Vinane vya Afya Unguja na Pemba
10 years ago
Dewji Blog07 May
Wizara ya mambo ya nje yakabidhi msaada wa vyandarua hospitali 8 za Pemba na Unguja
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya Malaria Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.
Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa Unguja na Pemba.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
9 years ago
Habarileo23 Aug
UNFPA yakabidhi pikipiki kusaidia afya ya uzazi
SHIRIKA la Kimataifa linaloshughulika na Idadi ya Watu Dunia (UNFPA) limekabidhi Wizara ya Afya Zanzibar pikipiki tano zenye thamani ya Sh milioni 12 kwa ajili ya kusaidia huduma za afya ya uzazi, kwa akinamama, vijana na watoto.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KcG0dt8xZeU/XrRR3RSOM8I/AAAAAAALpa8/GZbb_Pn954IwbrfSjgVobtbNc9YQ5QingCLcBGAsYHQ/s72-c/6357f75f-89dd-430e-9b83-52addcf6ee5e.jpg)
UVIKASA YAKABIDHI PIKIPIKI 32 NA VIFAA KINGA KWA VIJANA.
Uongozi wa Umoja wa Vijana Karagwe Saccos (UVIKASA) kupitia Mlezi wake Mbunge wa Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent L. Bashungwa umekabidhi pikipiki 32, pamoja na Vifaa kinga dhidi ya Corona kwa vijana wanachama wa Saccos hiyo ili kuwaendeleza kiuchumi.
Tukio hilo limefanywa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti mapema Mei 07, 2020 katika Viwanja vya Ofisi za CCM Karagwe, na kushuhudiwa na Viongozi wa Chama na Serikali, ikiwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-B0JHwJ_VYNs/VCQcXwKWu1I/AAAAAAAGluw/MLve-rqhY0E/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
WIZARA YA AFYA YAKABIDHI MABASI 6 KWA VYUO VYA AFYA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-B0JHwJ_VYNs/VCQcXwKWu1I/AAAAAAAGluw/MLve-rqhY0E/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EEtTWKJ0p9s/VCQcYF3MDzI/AAAAAAAGlu4/J8IMq3n5mCM/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7yCiC-I--Mw/Xsf1yPLVVQI/AAAAAAALrT4/raqA9H2oQ6wLqHzvgGdj7ixHxV7rLemsACLcBGAsYHQ/s72-c/2a1a2fb5-2960-434f-88e3-2419babdface.jpg)
PIKIPIKI ZA JPM ZAKABIDHIWA KWA MAAFISA TARAFA KAGERA.
Na Abdullatif Yunus MichuziTV.
Pikipiki 27 zilizonunuliwa na Rais John Pombe Magufuli kwa ajili ya kuwasaidia Maafisa Tarafa kote Nchini, kutimiza majukumu yao zimeendelea kukabidhiwa kwa Walengwa ambapo kwa Mkoa wa Kagera Pikipiki hizo zimekabidhiwa rasmi na Mkuu wa Mkoa Brigedia Marco E. Gaguti mapema Mei 22, 2020.
Pikipiki hizo zipatazo 27, aina ya SANLG zenye thamani ya Jumla Shilingi 59,913,000/= tayari zimegawiwa katika Wilaya Nane zinazounda Mkoa Kagera, na Idadi yake kama...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s72-c/e1.jpg)
farm afrika yakabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za Babati na Mbulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s1600/e1.jpg)
Farm Africa kupitia mradi wake Usimamizi Endelevu Mfumo wa Ikolojia wa Msitu wa Nou (SNFEMP) na kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za wilaya za Mbulu na Babati. Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano Akipokea pikipiki hizo katika hafla fupi iliyofanyika ofisi ya Farm Africa, Dareda Babati, Ijumaa tarehe 14 Februari, mwakilishi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Babati, Bibi Zainabu Mnubi alisema...