UNFPA yakabidhi pikipiki kusaidia afya ya uzazi
SHIRIKA la Kimataifa linaloshughulika na Idadi ya Watu Dunia (UNFPA) limekabidhi Wizara ya Afya Zanzibar pikipiki tano zenye thamani ya Sh milioni 12 kwa ajili ya kusaidia huduma za afya ya uzazi, kwa akinamama, vijana na watoto.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Taasisi ya JSI Â yakabidhi pikipiki 10 kwa maafisa wa afya Unguja na Pemba
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (kushoto) akimkabidhi Pikipiki Afisa wa Afya wa Wilaya Nd. Khamis Daud Ali katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Maruhubi.
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Jumla ya Pikipiki 10 zenye thamani ya Sh.Million 42 zimegawiwa kwa Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba.
Pikipiki hizo ni Msaada kutoka Shirika la Watu wa Marekani USAID kupitia Taasisi ya JSI wenye lengo la kusaidia Sekta ya Afya Zanzibar.
Akikabidhi Pikipiki hizo Naibu...
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Aliachana na kilimo akajikita kusaidia afya ya uzazi kwa vijana
11 years ago
Dewji Blog24 May
CCBRT, Vodacom Foundation na UNFPA kusaidia kampeni za kukuza uelewa wa jamii wa kupambana na Fistula
Baadhi ya wakazi wa Tandika sokoni jijini Dar es Salaam,wakisoma vipeperushi vyenye ujumbe wa “Fistula inatibia” wakati wa kampeni ya kutoa elimu kwa Umma juu ya tatizo hilo kuwa linatibika kwa ushirikiano wa wadau wa CCBRT,UNFPA na Vodacom Foundation.Kampeni hizo zinafanyika nchi nzima katika kuaziamisha siku ya Fistula duniani.
Katika maadhimisho ya pili ya siku ya kutokomeza fistula ya uzazi duniani, mabalozi 100 wa kijamii wataendesha warsha za wazi kueneza ujumbe “Fistula...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3462QO1WdRU/VCbh88FrF-I/AAAAAAAGmN4/j7aeNpvhg7M/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA WA AMBULANCE TOKA (UNFPA)
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu (UNFPA) limekabidhi msaada wa magari manne ya Ambulance kwa Wizara ya Afya ya Zanzibar ambayo yatatumika katika Hospitali nne visiwani hapa.
Mwakilishi wa UNFPA Tanzania Dkt. Natalia Kanem alimkabidhi Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman magari hayo katika sherehe fupi zilizofanyika Wizarani Mnazi mmoja.
Dkt. Natalia alitaka magari hayo yatumike kwa uangalifu ili kufikia malengo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-B0JHwJ_VYNs/VCQcXwKWu1I/AAAAAAAGluw/MLve-rqhY0E/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
WIZARA YA AFYA YAKABIDHI MABASI 6 KWA VYUO VYA AFYA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-B0JHwJ_VYNs/VCQcXwKWu1I/AAAAAAAGluw/MLve-rqhY0E/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EEtTWKJ0p9s/VCQcYF3MDzI/AAAAAAAGlu4/J8IMq3n5mCM/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KcG0dt8xZeU/XrRR3RSOM8I/AAAAAAALpa8/GZbb_Pn954IwbrfSjgVobtbNc9YQ5QingCLcBGAsYHQ/s72-c/6357f75f-89dd-430e-9b83-52addcf6ee5e.jpg)
UVIKASA YAKABIDHI PIKIPIKI 32 NA VIFAA KINGA KWA VIJANA.
Uongozi wa Umoja wa Vijana Karagwe Saccos (UVIKASA) kupitia Mlezi wake Mbunge wa Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent L. Bashungwa umekabidhi pikipiki 32, pamoja na Vifaa kinga dhidi ya Corona kwa vijana wanachama wa Saccos hiyo ili kuwaendeleza kiuchumi.
Tukio hilo limefanywa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti mapema Mei 07, 2020 katika Viwanja vya Ofisi za CCM Karagwe, na kushuhudiwa na Viongozi wa Chama na Serikali, ikiwa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iad4jOhX0Z2EiJk1WcVBIomoq5f76uBYcbK6J6qOorK9r1CmcF35Iyv2dceGIBb9VvUsJ7*xCOmdZKVklMA2ozlk34ZRCGsP/1.jpg?width=650)
STAR TIMES YAKABIDHI PIKIPIKI KWA MSHINDI DROO YA PILI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s72-c/e1.jpg)
farm afrika yakabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za Babati na Mbulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-OsroRDmOJL4/UwJUi-WZ0tI/AAAAAAAFNqw/J2Jf9SLS7yg/s1600/e1.jpg)
Farm Africa kupitia mradi wake Usimamizi Endelevu Mfumo wa Ikolojia wa Msitu wa Nou (SNFEMP) na kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekabidhi pikipiki 10 kwa halmashauri za wilaya za Mbulu na Babati. Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano Akipokea pikipiki hizo katika hafla fupi iliyofanyika ofisi ya Farm Africa, Dareda Babati, Ijumaa tarehe 14 Februari, mwakilishi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya Babati, Bibi Zainabu Mnubi alisema...