UZALISHAJI WA VAZI KINGA (PPE) MUHIMBILI WAONGEZEKA KWA 400% HUKU MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA (TMDA) IKIRIDHIA NA KULITAMBUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bJ-GOrE1gf8/XsPKaDEee_I/AAAAAAALqws/TuAsa4LKaOEZPDOIZmj44036YCmv0wW2QCLcBGAsYHQ/s72-c/63e02d2f-7a57-4d07-ad5d-f846420366f7.jpg)
Mafundi wa kitengo cha Ushonaji MNH wakiendelea na ushonaji wa vazi la PPE
Vazi la PPE likiwa tayari kupelekwa kwa wateja .
Mafundi wa Kitengo cha Ushonaji MNH wakiwa katika maandalizi ya awali ya ushonaji wa vazi la PPE
Muonekano wa vazi la PPE linaloshonwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili.******************************* Dar es Salaam, Jumanne Mei 19,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q6LmFLdsovM/Xp6KLIt_oFI/AAAAAAALnrM/bPKF7BILqhQWVukhT9vn3TMnKUfxAIMQgCLcBGAsYHQ/s72-c/407d6141-7f20-4717-ad26-76900a5a03ec.jpg)
MUHIMBILI YASAMBAZA VAZI LA PPE KWA KAMATI ZA DHARURA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-q6LmFLdsovM/Xp6KLIt_oFI/AAAAAAALnrM/bPKF7BILqhQWVukhT9vn3TMnKUfxAIMQgCLcBGAsYHQ/s640/407d6141-7f20-4717-ad26-76900a5a03ec.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GTWn9yTwgiY/Xp6KLEIN5WI/AAAAAAALnrQ/3J7eBPHnzNI-3EjUa7Kj0nblQX04c7GjgCLcBGAsYHQ/s640/26936c25-538f-4f84-b1f9-2afe3855d089.jpg)
Hospitali ya Taifa Muhimbili imeanza kusambaza mavazi maalumu...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Uhaba wa dawa, vifaa tiba mzigo kwa Serikali
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZIKWASA LATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA WILAYA YA PANGANI
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange na kulia ni Mkurugenzi wa Halmashsuri ya wilaya ya Pangani Isaya Mbenje
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Misri yaleta vifaa tiba, madaktari Muhimbili
SERIKALI ya Misri imetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya sh milioni 400 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kuahidi kuleta madaktari kubadilishana uzoefu. Akizungumza katika hafla fupi...
9 years ago
StarTV25 Nov
Muhimbili wapokea msaada wa vifaa tiba kutoka UNICEF
Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dokta Donan Mbando amepokea vifaa tiba vyenye thamani ya dola za kimarekani laki moja sawa na shilingi milioni mia mbili na tatu za kitanzania kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF.
Vifaa hivyo vimetolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es Salaam kwa ajili ya kupunguza vifo vya watoto takribani elfu moja ambao hufa kila mwaka kulingana na Takwimu za Wizara ya Afya.
Akipokea msaada huo jengo la watoto katika...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Pareso: Serikali itatue tatizo la vifaa tiba Muhimbili
MBUNGE wa Viti Maalum, Cecilia Pareso (CHADEMA) ameitaka serikali ieleze ina mikakati gani ya kutatua matatizo ya ukosefu wa vifaa tiba, madawa pamoja na vifungashio ambavyo vinaikabili Hospitali ya Rufaa...
5 years ago
MichuziWORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA
Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gS-r7qUYBM4/VE5WtCxF4LI/AAAAAAACtrE/hjvSKulVS_I/s72-c/New%2BPicture.png)
FAFANUZI KUHUSU UHABA WA DAWA MUHIMU NA VIFAA TIBA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-gS-r7qUYBM4/VE5WtCxF4LI/AAAAAAACtrE/hjvSKulVS_I/s1600/New%2BPicture.png)
Kuna taarifa katika vyombo vya habarii liyotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la SIKIKA ,kwamba serikali haijalipa kiasi cha shilingi bilioni 90 kwa bohari kuu ya dawa na kusababishia ukosefu dawa katika baadhi ya hospitali.
Ni kweli bohari kuu ya dawa imepungukiwa fedha za kununulia dawa , lakini sio kwa kiasi cha kushindwa kutoa huduma kabisa kama inavyoelezwa. Kiasi cha pesa kinachotajwa si kigeni na serikali imekua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p49r55PyQQA/Xtd8EVfGFFI/AAAAAAALsbA/sCveQTwJ5ocJv7OglyRCVfISaCunyM5twCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200602_131226_1.jpg)
WAFANYABIASHARA WA DAWA NA VIFAA TIBA WAHIMIZWA KUFUATA SHERIA
Hayo yamesemwa jana na Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Kaskazini Proches Patrick wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, alisema kumekuwepo na baadhi ya wafanya biashara wasio...