FAFANUZI KUHUSU UHABA WA DAWA MUHIMU NA VIFAA TIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-gS-r7qUYBM4/VE5WtCxF4LI/AAAAAAACtrE/hjvSKulVS_I/s72-c/New%2BPicture.png)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMI.
Kuna taarifa katika vyombo vya habarii liyotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la SIKIKA ,kwamba serikali haijalipa kiasi cha shilingi bilioni 90 kwa bohari kuu ya dawa na kusababishia ukosefu dawa katika baadhi ya hospitali.
Ni kweli bohari kuu ya dawa imepungukiwa fedha za kununulia dawa , lakini sio kwa kiasi cha kushindwa kutoa huduma kabisa kama inavyoelezwa. Kiasi cha pesa kinachotajwa si kigeni na serikali imekua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Uhaba wa dawa, vifaa tiba mzigo kwa Serikali
10 years ago
Habarileo08 Jun
Mpango mpya kusimamia dawa, vifaa tiba wazinduliwa
SERIKALI imezindua mpango wa kusimamia upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa njia za kielektroniki ili kuboresha na kumaliza manung’uniko ya watu kuhusiana na tatizo hilo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p49r55PyQQA/Xtd8EVfGFFI/AAAAAAALsbA/sCveQTwJ5ocJv7OglyRCVfISaCunyM5twCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200602_131226_1.jpg)
WAFANYABIASHARA WA DAWA NA VIFAA TIBA WAHIMIZWA KUFUATA SHERIA
Hayo yamesemwa jana na Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Kaskazini Proches Patrick wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, alisema kumekuwepo na baadhi ya wafanya biashara wasio...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
KIWANDA CHA VIFAA TIBA SIMIYU KUIPUNGUZIA MSD UAGIZAJI WA VIFAA TIBA NJE YA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BA.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oajSCfq5SuA/VJl4KswUo3I/AAAAAAABAW0/HtQO0itP3Zw/s72-c/DSC_0819.jpg)
MSD YAKUBALI AGIZO LA SERIKALI KUWEKA ALAMA KATIKA DAWA NA VIFAA TIBA
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD),Cosmas Mwaifwani amesema bohari ya dawa imepokea agizo la serikali kuweka alama katika dawa za umma pamoja na vifaa tiba ili kuweza kudhibiti upotevu wa dawa pamoja na vifaa tiba.
Mwaifwani aliyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mikakati bohari hiyo katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi.
Alisema katika mkakati mwingine ni kuanzisha maduka ya jumla...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bJ-GOrE1gf8/XsPKaDEee_I/AAAAAAALqws/TuAsa4LKaOEZPDOIZmj44036YCmv0wW2QCLcBGAsYHQ/s72-c/63e02d2f-7a57-4d07-ad5d-f846420366f7.jpg)
UZALISHAJI WA VAZI KINGA (PPE) MUHIMBILI WAONGEZEKA KWA 400% HUKU MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA (TMDA) IKIRIDHIA NA KULITAMBUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bJ-GOrE1gf8/XsPKaDEee_I/AAAAAAALqws/TuAsa4LKaOEZPDOIZmj44036YCmv0wW2QCLcBGAsYHQ/s640/63e02d2f-7a57-4d07-ad5d-f846420366f7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/82d2bf42-47e1-4cec-ab51-b31ce47d2d76.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3969e8fd-1af8-4d67-a70b-bb5ab0b9a4d1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/73764541-ab78-4998-a176-b686d574513a.jpg)
10 years ago
MichuziMWAKILISHI JIMBO LA CHAKE CHAKE APELEKEKA HOSPITALI DAWA NA VIFAA TIBA VILIVYOPITA MUDA WA MATUMIZI
9 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
KCMC na uhaba wa vifaa, wataalamu
“WAGONJWA wanaofika kwenye hospitali yetu wanaohitaji huduma ya CT Scan inawalazimu kwenda hospitali nyingine ambazo zina huduma hiyo.” Hivyo ndivyo anavyobainisha Mkurugenzi wa Huduma wa Hospitali ya Rufaa ya Moshi...