KCMC na uhaba wa vifaa, wataalamu
“WAGONJWA wanaofika kwenye hospitali yetu wanaohitaji huduma ya CT Scan inawalazimu kwenda hospitali nyingine ambazo zina huduma hiyo.” Hivyo ndivyo anavyobainisha Mkurugenzi wa Huduma wa Hospitali ya Rufaa ya Moshi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Uhaba wa dawa, vifaa tiba mzigo kwa Serikali
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gS-r7qUYBM4/VE5WtCxF4LI/AAAAAAACtrE/hjvSKulVS_I/s72-c/New%2BPicture.png)
FAFANUZI KUHUSU UHABA WA DAWA MUHIMU NA VIFAA TIBA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-gS-r7qUYBM4/VE5WtCxF4LI/AAAAAAACtrE/hjvSKulVS_I/s1600/New%2BPicture.png)
Kuna taarifa katika vyombo vya habarii liyotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la SIKIKA ,kwamba serikali haijalipa kiasi cha shilingi bilioni 90 kwa bohari kuu ya dawa na kusababishia ukosefu dawa katika baadhi ya hospitali.
Ni kweli bohari kuu ya dawa imepungukiwa fedha za kununulia dawa , lakini sio kwa kiasi cha kushindwa kutoa huduma kabisa kama inavyoelezwa. Kiasi cha pesa kinachotajwa si kigeni na serikali imekua...
5 years ago
BBCSwahili01 May
Mwanamziki Brian May amekosoa uhaba wa vifaa vya kupima corona
9 years ago
StarTV01 Dec
Serikali yaombwa kutoa vifaa vya upimaji maradhi Wataalamu Wa Tiba Asili
Wataalamu wa tiba asili wameiomba Serikali kutoa usaidizi wa vifaa vya upimaji wa maradhi mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha kutoa tiba kwa kiwango kinachokubalika.
Baadhi ya hospitali nchini zinadaiwa kuwa zimekuwa zikitoa masharti magumu kwa waganga wa tiba asili kupata vipimo kwa wagonjwa wao hali inayowafanya kujiingiza katika upigaji ramli chonganishi.
Wilaya ya Chato mkoani Geita iliyopo Magharibi mwa Tanzania baada ya kumtoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,umaarufu wake...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Wagonjwa KCMC hatarini
WAGONJWA wanaotibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, watumishi na wageni wanaowauguza wagonjwa, afya zao zipo hatarini kutokana na kukumbwa na magonjwa ya mlipuko na maji wanayotumia katika hospitali hiyo...
11 years ago
TheCitizen14 Jul
Sh1bn for in-patient wards at KCMC
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Mkurugenzi KCMC aachia ngazi
10 years ago
TheCitizen23 Dec
KCMC calls for help as patient numbers rise
10 years ago
Michuzi25 Dec
SUPER D AMPIGA TAFU YA VIFAA BONDIA MUSSA CHITEPETE WA SONGEA VIFAA
KOCHA wa mchezo wa masumbwi nchini,Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushirikiana na marafiki zake wa kwenye mtandao wa kijamii wa whatsapp wamemkabidhi vifaa bondia Mussa Chitepete wa Songea kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumwi nchini
vifaa hivyo vilivyotolewa na super D kwa kushilikiana na mdau mkubwa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mkumba ambaye ndie muhamasishaji mkubwa katika mtandao huo kwa ajili ya kusaidia mabondia
baada ya kukabidhiwa msaada huo bondia Mussa...