Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KCMC na uhaba wa vifaa, wataalamu

“WAGONJWA wanaofika kwenye hospitali yetu wanaohitaji huduma ya CT Scan inawalazimu kwenda hospitali nyingine ambazo zina huduma hiyo.” Hivyo ndivyo anavyobainisha Mkurugenzi wa Huduma wa Hospitali ya Rufaa ya Moshi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uhaba wa dawa, vifaa tiba mzigo kwa Serikali

Suala la uhaba wa dawa na vifaa tiba katika hospitali nchini ikiwamo Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, limeonekana kuielemea Wizara ya Afya baada ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuthibitisha, huku akidai kuwa Serikali itapeleka fedha kwa awamu Bohari ya Kuu ya Dawa ili kupunguza uhaba huo.

 

10 years ago

Michuzi

FAFANUZI KUHUSU UHABA WA DAWA MUHIMU NA VIFAA TIBA



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMI.
Kuna taarifa katika vyombo vya habarii liyotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la SIKIKA ,kwamba serikali haijalipa kiasi cha shilingi bilioni 90 kwa bohari  kuu ya dawa  na kusababishia ukosefu  dawa katika baadhi ya hospitali.
Ni kweli bohari kuu ya dawa imepungukiwa fedha za kununulia dawa , lakini sio kwa kiasi cha kushindwa kutoa huduma kabisa  kama inavyoelezwa.  Kiasi cha pesa kinachotajwa  si kigeni na serikali imekua...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamziki Brian May amekosoa uhaba wa vifaa vya kupima corona

Mwanamuziki wa Uingereza Brian May amesema kushindwa kununua vifaa muhimu vya kujikinga na maradhi ya Covid-19 ni swala la kuvunja moyo

 

9 years ago

StarTV

Serikali yaombwa kutoa vifaa vya upimaji maradhi Wataalamu Wa Tiba Asili

 

Wataalamu wa tiba asili wameiomba Serikali kutoa usaidizi wa vifaa vya upimaji wa maradhi mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha kutoa tiba kwa kiwango kinachokubalika.

Baadhi ya hospitali nchini zinadaiwa kuwa zimekuwa zikitoa masharti magumu kwa waganga wa tiba asili kupata vipimo kwa wagonjwa wao hali inayowafanya kujiingiza katika upigaji ramli chonganishi.

 

Wilaya ya Chato mkoani Geita iliyopo Magharibi mwa Tanzania baada ya kumtoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,umaarufu wake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wagonjwa KCMC hatarini

WAGONJWA wanaotibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, watumishi na wageni wanaowauguza wagonjwa, afya zao zipo hatarini kutokana na kukumbwa na magonjwa ya mlipuko na maji wanayotumia katika hospitali hiyo...

 

11 years ago

TheCitizen

Sh1bn for in-patient wards at KCMC

The Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) Referral Hospital will spend Sh1billion on the construction of two wards for in-patients, a big relief for the regional hospital currently facing a bed crisis for admitted patients.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi KCMC aachia ngazi

>Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Dk Moshi Ntabaye, ameamua kubwaga manyanga huku watumishi wakiwa wamepoteza morali ya kufanya kazi katika hospitali hiyo kubwa na maarufu nchini.

 

10 years ago

TheCitizen

KCMC calls for help as patient numbers rise

>The Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) referral  hospital is reportedly overwhelmed by an increase in the number of patients  and visitors that it has to handle, with those admitted outstripping its bed capacity by 50 per cent.

 

10 years ago

Michuzi

SUPER D AMPIGA TAFU YA VIFAA BONDIA MUSSA CHITEPETE WA SONGEA VIFAA

Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa mchezo wa masumbwi nchini,Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushirikiana na marafiki zake wa kwenye mtandao wa kijamii wa whatsapp wamemkabidhi vifaa bondia Mussa Chitepete wa Songea kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumwi nchini
vifaa hivyo vilivyotolewa na super D kwa kushilikiana na mdau mkubwa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mkumba ambaye ndie muhamasishaji mkubwa katika mtandao huo kwa ajili ya kusaidia mabondia
baada ya kukabidhiwa msaada huo bondia Mussa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani