Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi KCMC aachia ngazi

>Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Dk Moshi Ntabaye, ameamua kubwaga manyanga huku watumishi wakiwa wamepoteza morali ya kufanya kazi katika hospitali hiyo kubwa na maarufu nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Muhongo aachia ngazi

Dakika 50 zilimtosha Profesa Sospeter Muhongo kujieleza kwa urefu wakati akitangaza uamuzi wake wa kujiuzulu uwaziri wa Nishati na Madini akisema “anataka nchi isonge mbele” baada ya kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow kutikisa Taifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mfalme wa Uhispania aachia ngazi

Mfalme wa Uhispania Juan Carlos ameachia mamlaka maka mfalme wa Uhispania baada ya kutawala tangu mwaka 1975

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtawala aachia ngazi Simba

BAADA ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Simba, Evodius Mtawala kuikwaa nafasi ya Mkurugenzi wa Uanachama na Sheria ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ameachia ngazi Msimbazi. Mtawala ambaye ni mwanasheria...

 

11 years ago

Mwananchi

Naibu Katibu Mkuu NLD aachia ngazi

Sakata la Mwenyekiti wa Chama cha NLD, Emmanuel Makaidi na mkewe Modesta Ponera kuwa wajumbe wa Bunge la Katiba, limeingia katika sura mpya baada ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Khamis Haji Mussa, kujivua uanachama.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri afukuzwa, IGP aachia ngazi Kenya

Waziri wa Usalama aliyefukuzwa kazi, Joseph ole Lenku MBUNGE wa Kajiado ya Kati nchini Kenya, Joseph Nkaissery ameteuliwa kuwa Waziri wa Usalama wa Ndani wa nchi hiyo.

 

11 years ago

GPL

KOCHA WA BRAZIL FELIPE SCOLARI AACHIA NGAZI

Luiz Felipe Scolari. KOCHA wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari ametangaza rasmi kuachia nafasi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014. Scolari amelaumiwa kwa kushindwa kuiongoza Brazil iliyoambulia nafasi ya nne katika muchuano hiyo iliyoandaliwa nyumbani kwao huku ikishuhudia kombe likienda kwa Ujerumani. ...

 

10 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS:Hatimaye Profesa Muhongo aachia ngazi

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amejiuzulu nafasi yake baada ya kile alichosema ni kuandamwa kila kona kuhusu sakata la Akaunti ya Escrow huku akisisitiza kuwa yeye hahusiki hata kidogo na kashfa hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtatiro aachia ngazi CUF, Sakaya amrithi mikoba

>Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) limemchagua Mbunge wake wa Viti Maalumu, Magdalena Sakaya kuwa naibu katibu mkuu wa chama hicho upande wa Tanzania Bara kushika nafasi iliyoachwa wazi na Julius Mtatiro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani