Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamziki Brian May amekosoa uhaba wa vifaa vya kupima corona

Mwanamuziki wa Uingereza Brian May amesema kushindwa kununua vifaa muhimu vya kujikinga na maradhi ya Covid-19 ni swala la kuvunja moyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona

New York imetoa wito kwa serikali kutuma vifaa zaidi vya kupima virusi vya corona katika jimbo hilo huku visa vya maambukizi vikiongezeka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China

India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''vina dosari''.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mashine ya kupima corona 'yakutwa na hitilafu Tanzania'

Wizara ya afya nchini Tanzania imebaini kuwa palikuwa na upungufu katika mfumo wa kimuundo na kiutendaji katika kukabiliana na covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Vipimo vinavyotumika kupima corona Tanzania havina hitilafu

Bodi ya Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (CDC) inakataa matamshi ya Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kwamba vifaa vya kupimia viruisi vya corona haviko sahihi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege

Ebola - 4

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.

Na. Aron Msigwa –MAELEZO.

 Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...

 

10 years ago

Vijimambo

MKURANGA WAKABIDHIWA VIFAA VYA KUPIMA NA KUTIBU MACHO

Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision Institute Eden Mahayo (kushoto)akimuonyehsa mashine ya kutengenezea miwani baada ya kumkabidhi msaada wa sanduku la vifaa vya kupimia macho vyenye thamani ya shilingi milioni 11.4 Kaimu Mkurugenzi wa manispaa ya Mkuranga Mbenjamin Majoya kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi 122 za wilaya hiyo ambao watanufaika na huduma ya kupima na kutibiwa macho bure. Hafla hiyo ilifanyika katika hospitali ya Wilaya hiyo....

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini ni muhimu kupima virusi vya corona?

Kila nchi imeonekana ikikabiliana na mlipuko wa virusi vya corona kwa namna yake ,lakini yawezekana kuwa suala la kila mtu kupima virusi vya corona ni muhimu na kila nchi kuzingatia hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

 

9 years ago

StarTV

   TFDA kuongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa Vifaa Vya Kupima Damu

 

Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa TFDA imesema itaongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa vifaa vinavyotumika kupima damu au kitu chochote katika mwili wa binadamu.

Vitendanishi hivyo ni pamoja na mate, mkojo na haja kubwa ili kutambua tatizo lililoko mwilini na kuondoa utata wa majibu unaotokana na baadhi ya vitendanishi kutokukidhi ubora, usalama na utendaji kazi unaotakiwa.

Meneja wa usajili wa vifaa tiba kutoka TFDA   Bi Agnes Kijo ameyasema hayo wakati akizungumza katika mkutano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani