MKURANGA WAKABIDHIWA VIFAA VYA KUPIMA NA KUTIBU MACHO
Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision Institute Eden Mahayo (kushoto)akimuonyehsa mashine ya kutengenezea miwani baada ya kumkabidhi msaada wa sanduku la vifaa vya kupimia macho vyenye thamani ya shilingi milioni 11.4 Kaimu Mkurugenzi wa manispaa ya Mkuranga Mbenjamin Majoya kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi 122 za wilaya hiyo ambao watanufaika na huduma ya kupima na kutibiwa macho bure. Hafla hiyo ilifanyika katika hospitali ya Wilaya hiyo....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Brien Holden Vision yatoa msaada wa vifaa vya kupimia macho Wilaya ya Mkuranga na Kibaha
Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya Kiserikali ya Brien Holden Vision Institute, Eden Mahayo akisisitiza jambo wakati alipofika katika hospitali ya Wilaya ya Mkuranga kukabidhi msaada wa vifa vya macho kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi 122 za Mkuranga ambapo wanafunzi hao watapata huduma ya kupima na kutibiwa macho bure. Kulia ni Mganga mkuu wa Wilaya hiyo Dkt.Francis Mwanisi,Kaimu Mkurugenzi wa Mkuranga Benjamin Majoya na Mratibu wa Taifa wa Huduma ya Macho Dkt.Nkundwe...
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeI2e4VDElM2dCsr8OSspfIcw7pH9a-pqWjwiaC*g9BM0i41MRQ5fjDH5htMv7I3zpUPvWPbLz0nHt5zv3kde6bP/4.jpg)
MAOFISA WA MALAYSIA WAKABIDHIWA VIFAA VYA KUTUNZA KUMBUKUMBU YA NDEGE ILIYOLIPULIWA
5 years ago
BBCSwahili01 May
Mwanamziki Brian May amekosoa uhaba wa vifaa vya kupima corona
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xzEi9Ez-wu0/XmYSf9d7LNI/AAAAAAALiL0/kiY9yt1fKzomKTH5zcxx_tqVH4tDQcGkwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
AIRTEL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI WA CHOO SHULE YA KIGUZA MKURANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xzEi9Ez-wu0/XmYSf9d7LNI/AAAAAAALiL0/kiY9yt1fKzomKTH5zcxx_tqVH4tDQcGkwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2m95dxQdZ7g/XmYSg36usdI/AAAAAAALiL4/hBrvDs0BFooTtOqNKSCGTOprMVIY84jXQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
9 years ago
StarTV16 Dec
  TFDA kuongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa Vifaa Vya Kupima Damu
Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa TFDA imesema itaongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa vifaa vinavyotumika kupima damu au kitu chochote katika mwili wa binadamu.
Vitendanishi hivyo ni pamoja na mate, mkojo na haja kubwa ili kutambua tatizo lililoko mwilini na kuondoa utata wa majibu unaotokana na baadhi ya vitendanishi kutokukidhi ubora, usalama na utendaji kazi unaotakiwa.
Meneja wa usajili wa vifaa tiba kutoka TFDA Bi Agnes Kijo ameyasema hayo wakati akizungumza katika mkutano...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uEGWOZPeWg8/Vdx3FFqGUhI/AAAAAAAHz6M/wCeTqR7Y96U/s72-c/images.jpg)
KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WATOA VIFAA VIPYA VYA KUPIMA MWENDO KASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-uEGWOZPeWg8/Vdx3FFqGUhI/AAAAAAAHz6M/wCeTqR7Y96U/s200/images.jpg)
Aidha taarifa hiyo ilidai kuwa ili kuongeza ufanisi wa vifaa hivi wameelekeza askari wanaoshika vifaa hivyo wasivae sare...