Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VZcZvMzK4F-sZbGzsUxm-G0-U-8wJkMrnFZCRKSk7HWhjZpNfS88gyhtNOf1wLOBuD9WDKT1Ws8SPmMS0EFP9S/unnamed3.jpg?width=650)
VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI VYAWASILI NCHINI, KUANZA KUTUMIKA VIWANJA VYA NDEGE
10 years ago
Habarileo23 Aug
Vifaa vya ebola vyawasili
SERIKALI imeanza kuingiza nchini vifaa vya kuwabaini watu wanaohisiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa homa kali ya ebola ambavyo vitawekwa kwenye viwanja vya ndege pamoja na baadhi ya maeneo ya mipakani.
11 years ago
Mwananchi27 May
‘Hakuna vifaa vya kugundua ‘unga’ viwanja vya Ndege’
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Viongozi wa kampuni ya Ndege ya Fastjet watembelea Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA)
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Mhandisi Suleiman S. Suleiman (katikati) akipokea zawadi ya sanamu ya ndege toka kwa Meneja Mkuu wa kampuni ya Ndege ya Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati baada ya viongozi wa kampuni hiyo kutembelea uongozi wa TAA na kufanya mazunguzmo mafupi hivi karibuni. Anayeshuhudia ni Meneja wa mahusiano kati ya Fastjet na Serikali, Engineer August Kowero.
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Tanzania haina ugonjwa wa EBOLA, udhibiti viwanja vya ndege na mipakani waimarishwa
Mtaalam wa ufuatiliaji wa magonjwa ya binadamu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Vida Mmbaga akitoa ufafanuzi kuhusu historia ya ugonjwa wa Ebola, Virusi vyake , dalili na namna unavyoenea wakati wa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo jijini Dar es salaam.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Imeelezwa kuwa Tanzania kwa sasa haina raia yeyote aliyeingia nchini kutoka mataifa mengine aliyebainika kuwa na maabukizi ya Virusi vya ugonjwa wa Ebola kufuatia zoezi...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Abiria kuvaa barakoa na glovu katika viwanja vya ndege
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China
11 years ago
Habarileo12 Aug
Vifaa kudhibiti ebola vyawasili
VIFAA tiba vinavyotumika kutibu na kujikinga na ugonjwa wa ebola, vilivyoagizwa kutoka Marekani kujikinga na ugonjwa huo hatari, vimewasili nchini mwishoni mwa wiki iliyopita na kuhifadhiwa katika Bohari ya Dawa (MSD).