Vifaa kudhibiti ebola vyawasili
VIFAA tiba vinavyotumika kutibu na kujikinga na ugonjwa wa ebola, vilivyoagizwa kutoka Marekani kujikinga na ugonjwa huo hatari, vimewasili nchini mwishoni mwa wiki iliyopita na kuhifadhiwa katika Bohari ya Dawa (MSD).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Aug
Vifaa vya ebola vyawasili
SERIKALI imeanza kuingiza nchini vifaa vya kuwabaini watu wanaohisiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa homa kali ya ebola ambavyo vitawekwa kwenye viwanja vya ndege pamoja na baadhi ya maeneo ya mipakani.
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VZcZvMzK4F-sZbGzsUxm-G0-U-8wJkMrnFZCRKSk7HWhjZpNfS88gyhtNOf1wLOBuD9WDKT1Ws8SPmMS0EFP9S/unnamed3.jpg?width=650)
VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI VYAWASILI NCHINI, KUANZA KUTUMIKA VIWANJA VYA NDEGE
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Vifaa vya kudhibiti nyuklia kufungwa
9 years ago
StarTV16 Dec
  TFDA kuongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa Vifaa Vya Kupima Damu
Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa TFDA imesema itaongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa vifaa vinavyotumika kupima damu au kitu chochote katika mwili wa binadamu.
Vitendanishi hivyo ni pamoja na mate, mkojo na haja kubwa ili kutambua tatizo lililoko mwilini na kuondoa utata wa majibu unaotokana na baadhi ya vitendanishi kutokukidhi ubora, usalama na utendaji kazi unaotakiwa.
Meneja wa usajili wa vifaa tiba kutoka TFDA Bi Agnes Kijo ameyasema hayo wakati akizungumza katika mkutano...
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
WHO kudhibiti Ebola Guinea
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Liberia yatangaza kudhibiti Ebola
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
UN:Hatuna raslimali za kudhibiti Ebola
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola