Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN:Hatuna raslimali za kudhibiti Ebola

Mkuu wa UN anayesimamia kitengo cha kukabiliana na Ebola magharibi mwa Afrika amesema hakuna raslimali za kuuthibiti ugonjwa huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

WHO kudhibiti Ebola Guinea

Kufikia sasa shirika la afya duniani WHO limethibitisha visa 122 vya homa ya Ebola huko Guinea na vingine saba katika nchi jirani ya Liberia.

 

11 years ago

Habarileo

Vifaa kudhibiti ebola vyawasili

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Stephen KebweVIFAA tiba vinavyotumika kutibu na kujikinga na ugonjwa wa ebola, vilivyoagizwa kutoka Marekani kujikinga na ugonjwa huo hatari, vimewasili nchini mwishoni mwa wiki iliyopita na kuhifadhiwa katika Bohari ya Dawa (MSD).

 

10 years ago

BBCSwahili

Liberia yatangaza kudhibiti Ebola

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ametangaza kwamba ugonjwa wa Ebola umedhibitiwa

 

10 years ago

Habarileo

Obama ataka Ulaya kudhibiti ebola

RAIS wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa nchi za Ulaya kufanya juhudi kuhakikisha homa ya ebola inadhibitiwa huku Ufaransa ikitangaza kufanya ukaguzi zaidi katika viwanja vya ndege ili kuhakikisha kuwa watu wanaoingia katika ardhi ya Ufaransa wamefanyiwa vipimo.

 

10 years ago

Habarileo

Bugando watoa mafunzo kudhibiti ebola

HOSPITALI ya Rufaa ya Bugando (BMC) imetoa mafunzo kwa wafanyakazi wake juu ya namna ya kujiandaa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola

Mkuu wa shirika la Medicins Sans Frontieres, amesema kuwa itachukua miezi sita kuweza kudhibiti janga la Ebola Afrika Magharibi.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Kebwe: Serikali imejipanga kudhibiti ugonjwa wa ebola

>Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imeungana na wizara nyingine pamoja na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege na ile ya mapato nchini(TRA), ili kuandaa mipango mikakati ya kuhakikisha ugonjwa wa ebola unadhibitiwa usiingie nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Tanga yataja vituo 3 vya kudhibiti ebola

MKOA wa Tanga umetenga vituo kadhaa vya afya vitatu, ikiwa ni hatua ya maandalizi ya kudhibiti watu watakaobainika kuambukizwa virusi vya homa ya ebola.

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Singida ataka mipango madhubuti kulinda raslimali maji

DSC01334

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye ufunguaji wa warsha ya wadau kujadili rasimu ya mwisho ya taarifa ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji wa bodi ya maji ya bonde la kati, liyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aquar Vitae hotel mjini Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone ametoa wito kwa Wizara ya Maji na taasisi zake, kuhakikisha ngazi zote za jamii zinapata taarifa sahihi juu ya umuhimu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani