UN:Hatuna raslimali za kudhibiti Ebola
Mkuu wa UN anayesimamia kitengo cha kukabiliana na Ebola magharibi mwa Afrika amesema hakuna raslimali za kuuthibiti ugonjwa huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
WHO kudhibiti Ebola Guinea
11 years ago
Habarileo12 Aug
Vifaa kudhibiti ebola vyawasili
VIFAA tiba vinavyotumika kutibu na kujikinga na ugonjwa wa ebola, vilivyoagizwa kutoka Marekani kujikinga na ugonjwa huo hatari, vimewasili nchini mwishoni mwa wiki iliyopita na kuhifadhiwa katika Bohari ya Dawa (MSD).
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Liberia yatangaza kudhibiti Ebola
10 years ago
Habarileo17 Oct
Obama ataka Ulaya kudhibiti ebola
RAIS wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa nchi za Ulaya kufanya juhudi kuhakikisha homa ya ebola inadhibitiwa huku Ufaransa ikitangaza kufanya ukaguzi zaidi katika viwanja vya ndege ili kuhakikisha kuwa watu wanaoingia katika ardhi ya Ufaransa wamefanyiwa vipimo.
10 years ago
Habarileo15 Aug
Bugando watoa mafunzo kudhibiti ebola
HOSPITALI ya Rufaa ya Bugando (BMC) imetoa mafunzo kwa wafanyakazi wake juu ya namna ya kujiandaa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa ebola.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Dk Kebwe: Serikali imejipanga kudhibiti ugonjwa wa ebola
10 years ago
Habarileo18 Aug
Tanga yataja vituo 3 vya kudhibiti ebola
MKOA wa Tanga umetenga vituo kadhaa vya afya vitatu, ikiwa ni hatua ya maandalizi ya kudhibiti watu watakaobainika kuambukizwa virusi vya homa ya ebola.
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
RC Singida ataka mipango madhubuti kulinda raslimali maji
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye ufunguaji wa warsha ya wadau kujadili rasimu ya mwisho ya taarifa ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji wa bodi ya maji ya bonde la kati, liyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aquar Vitae hotel mjini Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone ametoa wito kwa Wizara ya Maji na taasisi zake, kuhakikisha ngazi zote za jamii zinapata taarifa sahihi juu ya umuhimu wa...