Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola
Mkuu wa shirika la Medicins Sans Frontieres, amesema kuwa itachukua miezi sita kuweza kudhibiti janga la Ebola Afrika Magharibi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
WHO:Itachukua mda kukabili Ebola
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
UN:Itachukua mda mrefu kuangamiza Ebola
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Naomi-Campbell.jpg)
NAOMI ATUPWA JELA MIEZI SITA
11 years ago
Habarileo10 Apr
Dereva bodaboda jela miezi sita
DEREVA wa Bodaboda, Shaban Hamis (22) amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kusafirisha abiria bila ya kuwa na leseni ya usafirishaji.
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Mgombea ubunge wa Chadema ahukumiwa miezi sita
11 years ago
Uhuru Newspaper02 Jul
Kichanga cha miezi sita chabakwa Butiama
Na Ghati Msamba, Butiama
MTOTO mwenye umri wa miezi sita (jina linahifadhiwa) amebakwa katika kitongoji cha Nyarufu, kijiji cha Murangi, wilayani Butiama, mkoani.
Habari zinasema kuwa kichanga hicho kilibakwa na mtu asiyejulikana.
Tukio hilo lilitokea siku chache baada ya mtoto wa mwaka 1 na mwingine wa miezi 6 kubakwa wilayani hapa.
Akizungumza katika zahanati ya Murangi, mama wa mtoto huyo, Robby Mwita (18), alisema juzi saa 2 asubuhi, alimwacha mtoto wake nyumbani akiwa na shemeji yake,...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kangezi afungiwa miezi sita, faini Sh200,000
9 years ago
Global Publishers19 Dec
TCRA Yatoa miezi Sita kuzifunga simu feki Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-PDqSPwJbAO8/VnUKo_tOSHI/AAAAAAAAr9U/d7XyHe3V99Q/s1600/tmp_21241-2_TCRA-Tanzania-250x250-800x500_c96447027.jpg)
UTANGULIZI:
Vifaa vya mawasiliano vya mkononi – hususan simu za kiganjani na vifaa vya mawasiliano vya kiganjani (tablets) – vina namba maalum inayovitambulisha. Namba hiyo inajulikana kama IMEI ambacho ni kifupi cha International Mobile Equipment Identity.Kifungu cha 84 cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA) ya 2010 kinataka kuwepo kwa mfumo wa rajisi ya namba za utambulisho wa vifaa vya mawasiliano vya mkononi. Rajisi hii inajulikana kwa kiingereza kama Central...