Mgombea ubunge wa Chadema ahukumiwa miezi sita
Mgombea ubunge katika Jimbo la Kilombero mkoani Morogoro kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Peter Lijuakali amehukumiwa kifungo cha nje cha miezi sita baada ya kukutwa na hatia ya kumtukana ofisa mtendaji wa kata.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Sita Chadema wawania ubunge jimboni Chalinze
 Wanachama sita wa Chadema wamechukua fomu kuwania Ubunge wa Jimbo la Chalinze, Mkoa wa Pwani katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika mapema Aprili, mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
CHADEMA wapata mgombea ubunge Kalenga
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imemtangaza Grace Tendega kuwa mgombea ubunge Jimbo la Kalenga. Jimbo hilo lipo wazi baada ya kifo cha mbunge wake, William Mgimwa,...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mgombea ubunge Chadema afariki, kuzikwa leo
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wamepata pigo baada ya mgombea wake wa ubunge Jimbo la Lushoto, Mohamed Mtoi (39) (pichani), kufariki dunia baada ya gari alilokuwa akisafiria kutumbukia korongoni. Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tanga, Zubery Mwombeji, alisema Mtoi alifikwa na mauti saa saba usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Wilaya Lushoto alikokimbizwa kwa matiabu baada ajali hiyo kutokea.
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Chadema wampitisha rasmi mgombea ubunge Chalinze
 Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimempitisha Mathayo Torongey kuwa mgombea rasmi wa ubunge kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mgombea ubunge wa Chadema Dodoma mjini apata dhamana
Ulinzi mkali leo umewekwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Dodoma ili kuzuia wafuasi wa Chadema waliokwenda kusikiliza kesi inayomkabili mgombea ubunge wa jimbo la Dodoma mjini Benson Kigaila na kusababisha lango la kuingilia lifungwe.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhk5UnKluLgVgIGUEU3kQFW92R8hCumRhItevvfdkNzos1Kbwc42R-M7jYiYvD13B2WoQkJOQXNVLnH*2fsULw5c/13.gif)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE (CUF) AMUWEKEA PINGAMIZI WA CHADEMA
TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE FABIAN LEONARD SKAUKI – MGOMBEA CHAMA CHA WANANCHI –CUF
                                                           DHIDI YA
MATHAYO MANG’UNDA TORONGEY – MGOMBEA...
11 years ago
Michuzi20 Feb
PINGAMIZI LA CHADEMA DHIDI YA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA LATUPWA
Lile pingamizi lililokuwa limewekwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) dhidi ya mgombea ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) limetupwa.
Katika pingamizi lao lilowasilishwa juzi, Chadema walikuwa wanapinga Godfrey Mgimwa kugombea ubunge kupitia CCM kama alivyoomba kwa kuwa sio raia wa Tanzania.
Tetesi za tatizo la uraia wa Godfrey Mgimwa zilisambaa mjini Iringa baada ya Chadema kuweka pingamizi hilo.
Katika Pingamizi...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CsYDpVBdT5k/VeQEwkmWqNI/AAAAAAAAUYs/pZ8JNOfFG2I/s72-c/DSCF0052%2B%25281280x960%2529.jpg)
MGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI KUPITIA CHADEMA NA UKAWA AZINDUA KAMPENI ZAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-CsYDpVBdT5k/VeQEwkmWqNI/AAAAAAAAUYs/pZ8JNOfFG2I/s640/DSCF0052%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TUQ0u2nKX9A/VeQExVZnpYI/AAAAAAAAUY0/dVFmmh08OBI/s640/G03A1798%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m3lUYlSg5D0/VeQEyRPCs0I/AAAAAAAAUY8/KaJZ3hkAInU/s640/G03A1799%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zksRnq50PcE/VeQEzvfdXTI/AAAAAAAAUZE/RLAiOXAxLTA/s640/G03A1800%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5LSyyXYi2Bc/VeQE0mn0prI/AAAAAAAAUZU/qnLrGAsv2ns/s640/G03A1813%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SXUZbe3fQPs/VeQE2vjrBmI/AAAAAAAAUZc/eEkmL0JLQqs/s640/G03A1838%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vaq0CkQOOro/VeQE4T_hH_I/AAAAAAAAUZk/ig7U3dGoqF8/s640/G03A1845%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lKNqI2DVaLg/VeQE6iy7ejI/AAAAAAAAUZw/SDL-kfpaxMw/s640/G03A1856%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V_DIjw8Frck/VeQE52i82rI/AAAAAAAAUZo/89QuLdcjWw4/s640/G03A1857%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qHNr8rv5dgE/VeQE8y4KAKI/AAAAAAAAUZ8/nBL2OQidMqI/s640/G03A1858%2B%25281280x853%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania