Kichanga cha miezi sita chabakwa Butiama
Na Ghati Msamba, Butiama
MTOTO mwenye umri wa miezi sita (jina linahifadhiwa) amebakwa katika kitongoji cha Nyarufu, kijiji cha Murangi, wilayani Butiama, mkoani.
Habari zinasema kuwa kichanga hicho kilibakwa na mtu asiyejulikana.
Tukio hilo lilitokea siku chache baada ya mtoto wa mwaka 1 na mwingine wa miezi 6 kubakwa wilayani hapa.
Akizungumza katika zahanati ya Murangi, mama wa mtoto huyo, Robby Mwita (18), alisema juzi saa 2 asubuhi, alimwacha mtoto wake nyumbani akiwa na shemeji yake,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Apr
Dereva bodaboda jela miezi sita
DEREVA wa Bodaboda, Shaban Hamis (22) amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kusafirisha abiria bila ya kuwa na leseni ya usafirishaji.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Naomi-Campbell.jpg)
NAOMI ATUPWA JELA MIEZI SITA
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Mgombea ubunge wa Chadema ahukumiwa miezi sita
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kangezi afungiwa miezi sita, faini Sh200,000
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F_TTi_urvgo/VdlO8XdjwsI/AAAAAAAAUEg/SxJ--N4E_Ks/s72-c/DSCF6892%2B%25281280x960%2529.jpg)
TANAPA YATANGAZA KAMPENI YA MIEZI SITA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-F_TTi_urvgo/VdlO8XdjwsI/AAAAAAAAUEg/SxJ--N4E_Ks/s640/DSCF6892%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QOi_v6v-AjQ/VdlPBRePO7I/AAAAAAAAUEo/UyxcRPXWYmo/s640/DSCF6909%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QDW3fb-O-7I/VdlOqfB-PHI/AAAAAAAAUEY/ZQHnhG1j7Ms/s640/DSCF6891%2B%25281280x960%2529.jpg)
9 years ago
Global Publishers19 Dec
TCRA Yatoa miezi Sita kuzifunga simu feki Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-PDqSPwJbAO8/VnUKo_tOSHI/AAAAAAAAr9U/d7XyHe3V99Q/s1600/tmp_21241-2_TCRA-Tanzania-250x250-800x500_c96447027.jpg)
UTANGULIZI:
Vifaa vya mawasiliano vya mkononi – hususan simu za kiganjani na vifaa vya mawasiliano vya kiganjani (tablets) – vina namba maalum inayovitambulisha. Namba hiyo inajulikana kama IMEI ambacho ni kifupi cha International Mobile Equipment Identity.Kifungu cha 84 cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA) ya 2010 kinataka kuwepo kwa mfumo wa rajisi ya namba za utambulisho wa vifaa vya mawasiliano vya mkononi. Rajisi hii inajulikana kwa kiingereza kama Central...
5 years ago
MichuziMADEREVA 13 WAMESIMAMISHIWA LESENI ZAO KWA MUDA WA MIEZI SITA
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu akiwa na dereva aliyekuwa anaendesha basi bila kufuata utaratibu na sheria za barabarani.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Madereva 13 wamesimamishiwa leseni zao kwa muda wa miezi sita na kutokujihusisha na kazi ya udereva wa magari makubwa kwa kosa la kuvunja sheria za uslama barabarani kwa kuendesha
magari hayo kwa mwendo kasi.
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu ameeleza kuwa suala la ajari...