Kangezi afungiwa miezi sita, faini Sh200,000
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imemfungia miezi sita kutojihusisha na masuala ya soka na faini ya Sh200,000 mmiliki wa klabu ya African Lyon, Rahim Kangezi kutokana na utovu wa nidhamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Nov
Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000
![2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025-300x194.jpg)
Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.
Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.
Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.
Wiki hii...
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Mtoto wa mwaka mmoja afungiwa ndani kwa miezi sita huku akiteswa na kula magodoro Dar
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura.
Katika kile kinachoelezwa kitendo cha kikatili, dhidi ya watoto kushamiri, Mtoto wa mwaka mmoja na miezi sita (jina limehifadhiwa ),anadaiwa kuteswa na mama yake mzazi kwa kipindi cha miezi kumi akiwa amefungiwa ndani huku akila magodoro baada ya kubainika na majirani.
Kwa mujibu wa taarifa ya Neema Brian wa mtandao wa http://sautiyamnyonge.com alibainisha kuwa, Mtoto huyo ambaye amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala, ambaye...
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Balotelli afungiwa mchezo mmoja na faini
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini
10 years ago
Mwananchi06 Apr
HOFU YA MAFURIKO: Mtoto mlemavu afungiwa darini miezi minne Mtwara
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola
11 years ago
Habarileo10 Apr
Dereva bodaboda jela miezi sita
DEREVA wa Bodaboda, Shaban Hamis (22) amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kusafirisha abiria bila ya kuwa na leseni ya usafirishaji.
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Naomi-Campbell.jpg)
NAOMI ATUPWA JELA MIEZI SITA
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza