HOFU YA MAFURIKO: Mtoto mlemavu afungiwa darini miezi minne Mtwara
>Mtoto Abdul Mohamedi (13) ambaye ni mlemavu wa viungo, amelazimika kuishi darini kwa miezi minne mfululizo kukwepa kudhuriwa na mafuriko kutokana mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Mtwara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Mtoto mlemavu afungiwa ndani m
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Mtoto wa mwaka mmoja afungiwa ndani kwa miezi sita huku akiteswa na kula magodoro Dar
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura.
Katika kile kinachoelezwa kitendo cha kikatili, dhidi ya watoto kushamiri, Mtoto wa mwaka mmoja na miezi sita (jina limehifadhiwa ),anadaiwa kuteswa na mama yake mzazi kwa kipindi cha miezi kumi akiwa amefungiwa ndani huku akila magodoro baada ya kubainika na majirani.
Kwa mujibu wa taarifa ya Neema Brian wa mtandao wa http://sautiyamnyonge.com alibainisha kuwa, Mtoto huyo ambaye amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala, ambaye...
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kangezi afungiwa miezi sita, faini Sh200,000
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zRCvoj_13v8/Xt9TSoyvC7I/AAAAAAALtJY/4WfYYItA2509BH9owJ9FSjHjMKExvMoNACLcBGAsYHQ/s72-c/615f8244-f63f-4ccb-ad5c-cfbe46d3e7c7.jpg)
MAHAKAMA ZA MWANZO GEITA ZASIKILIZA MASHAURI NDANI YA MIEZI MINNE
![](https://1.bp.blogspot.com/-zRCvoj_13v8/Xt9TSoyvC7I/AAAAAAALtJY/4WfYYItA2509BH9owJ9FSjHjMKExvMoNACLcBGAsYHQ/s640/615f8244-f63f-4ccb-ad5c-cfbe46d3e7c7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/440d9976-2ebb-4186-9483-ace52b1a7e59.jpg)
Jengo la Mahakama ya Wilaya ya Bukombe
********************************
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha – Bukombe
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bukombe, Mhe. Ainawe Moshi amesema kwamba Mahakama za Mwanzo katika Mkoa wa Geita zimejipanga kumaliza mashauri ndani ya kipindi cha miezi minne, licha ya utaratibu uliopangwa wa miezi sita.
...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TW86LlOyD8Q/XrIGEaqBVeI/AAAAAAALpRc/RqjqhOhWPL82FV6eRV22UJZKE0IcHyu8QCLcBGAsYHQ/s72-c/g3.jpg)
MIAKA MINNE NA MIEZI NANE YA MAFANIKIO, MBUNGE WA MANONGA SEIF KHAMIS GULAMALI AWASHUKURU WANANCHI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVIKIWA Taifa linaelekea katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba Mwaka huu, mafanikio katika Jimbo la Manonga Wilayani Igunga yameonekana dhahiri na hiyo ni baada ya jitihada zilizofanywa na Mbunge wa Jimbo hilo Seif Khamis Gulamali katika kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) pamoja na kutekeleza ahadi alizoahidi hasa katika sekta ya Elimu na Afya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-TW86LlOyD8Q/XrIGEaqBVeI/AAAAAAALpRc/RqjqhOhWPL82FV6eRV22UJZKE0IcHyu8QCLcBGAsYHQ/s400/g3.jpg)
11 years ago
KwanzaJamii16 Jul
Mtoto afungiwa miaka 10 kwenye banda la mbuzi
10 years ago
Habarileo17 Jan
‘Mke’ wa mbunge avamia kikao na mtoto mlemavu
ANAYEDAIWA aliyewahi kuwa mke wa mbunge wa jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM), Hawa Deus, jana alivamia kikao cha Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala akiwa amesindikizwa na kundi la watu ambao mmojawao alikuwa amembeba mtoto wa mbunge huyo mwenye ulemavu, huku wakipiga kelele na kuwaacha wabunge na viongozi wa dini waliokuwepo kupigwa na butwaa.