‘Mke’ wa mbunge avamia kikao na mtoto mlemavu
ANAYEDAIWA aliyewahi kuwa mke wa mbunge wa jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM), Hawa Deus, jana alivamia kikao cha Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala akiwa amesindikizwa na kundi la watu ambao mmojawao alikuwa amembeba mtoto wa mbunge huyo mwenye ulemavu, huku wakipiga kelele na kuwaacha wabunge na viongozi wa dini waliokuwepo kupigwa na butwaa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
DC avamia mkutano, amtusi mbunge
MKUU wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, Venance Mwamoto, amevamia jukwaa la mkutano wa NCCR-Mageuzi na kisha kumtolea lugha ya matusi Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali. Mwamoto alijikaribisha kwenye mkutano...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Mtoto mlemavu afungiwa ndani m
10 years ago
Mwananchi06 Apr
HOFU YA MAFURIKO: Mtoto mlemavu afungiwa darini miezi minne Mtwara
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
11 years ago
Michuzi09 Mar
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Mbunge ashtakiwa kumtusi mke wa Mugabe
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
Mbunge afariki katika kikao cha bunge Kuwait