Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mke’ wa mbunge avamia kikao na mtoto mlemavu

ANAYEDAIWA aliyewahi kuwa mke wa mbunge wa jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM), Hawa Deus, jana alivamia kikao cha Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala akiwa amesindikizwa na kundi la watu ambao mmojawao alikuwa amembeba mtoto wa mbunge huyo mwenye ulemavu, huku wakipiga kelele na kuwaacha wabunge na viongozi wa dini waliokuwepo kupigwa na butwaa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

DC avamia mkutano, amtusi mbunge

MKUU wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, Venance Mwamoto, amevamia jukwaa la mkutano wa NCCR-Mageuzi na kisha kumtolea lugha ya matusi Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali. Mwamoto alijikaribisha kwenye mkutano...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto mlemavu afungiwa ndani m

Vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto wenye ulemavu wilayani Karagwe, vimezidi kukithiri huku wadau wanaotetea haki za watoto wakiendelea kutoa wito kwa wananchi kutoa ushirikiano kukabiliana na tatizo hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

HOFU YA MAFURIKO: Mtoto mlemavu afungiwa darini miezi minne Mtwara

>Mtoto Abdul Mohamedi (13) ambaye ni mlemavu wa viungo, amelazimika kuishi darini kwa miezi minne mfululizo kukwepa kudhuriwa na mafuriko kutokana  mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Mtwara.

 

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!

Rapper Mabeste ameshare kile alichoita “ukweli wa kuuguwa kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!” Mabeste akiwa na mke wake Lisa na mtoto wao Kendrick Hivi karibuni rapper huyo alielezea kwa kirefu jinsi mke wake Lisa Karl Fickenscher alivyougua kwa muda mrefu mara baada ya kujifungua mtoto wao Kendrick, kiasi cha kufikiri […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbunge ashtakiwa kumtusi mke wa Mugabe

Mbunge mmoja wa chama tawala nchini Zimbabwe anatarajiwa kufikishwa kortini kujibu mashtaka ya kumtusi mke wa Rais Robert Mugabe.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbunge afariki katika kikao cha bunge Kuwait

Mbunge huyo Nabil al-Fadl aliye na umri wa miaka 65 alianguka kwa ghafla kutoka kwenye kiti chake na kukata roho huku wenzake wakijaribu kumuokoa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani