Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mtoto wa miaka 5 avamia uwanja wakati brazil wanacheza na bafana bafana sauzi

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nahodha na mlinda mlango wa Bafana Bafana Senzo Meyiwa auawa na majambazi

Nahodha wa timu ya soka ya Afrika Kusini ambaye pia alikuwa mlinda mlango, Senzo Meyiwa  ameuawa. Klabu yake Orlando Pirates imetangaza kuwa aliuawa kwa kupigwa risasi na jambazi nyumbani kwake maili 20 kusini mwa jiji la Johannesburg usiku wa jana. Meyiwa, 27,  aliuawa nyumbani kwake  Vosloorus. Ripoti ambazo bado hazijathibitishwa zinadai kuwa Meyiwa  alikuwa ndani […]

 

10 years ago

Bongo5

Utata watawala msiba wa nahodha wa Bafana Bafana, Senzo Meyiwa

Utata mkubwa umeukumba msiba wa aliyekuwa nahodha na mlinda mlango wa Bafana Bafana, Senzo Meyiwa aliyeuwa kwa kupigwa risasi nyumbani kwa mpenzi wake, Kelly Khumalo, Jumapili iliyopita. Marehemu Senzo Meyiwa akiwa na Kelly Khumalo Katika tukio hilo, watu hao walichukua simu peke yake na Meyiwa aliyekuwa pia akiidakia timu ya Orlando Pirates alifariki akipelekwa hospitali […]

 

9 years ago

Dewji Blog

MCHEZO WA KIRAFIKI: Taifa Stars yafungwa na Bafana Bafana

mkwasaserena

Kocha wa Taifa Stars, Boniface Mkwasa

 

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars iliyopo Afrika Kusini kwa kambi ajili ya maandalizi ya mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu kwenda kucheza kombe la dunia nchini Urusi jana imecheza mchezo wa kujipima uwezo na Bafana Bafana chini ya miaka 23.

Katika mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa Eldorado uliopo Johannesburg, ilishuhudiwa Taifa Stars ikipokea kipigo cha goli 2 kwa bila.

Baada ya mchezo huo kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa alizungumza...

 

9 years ago

TheCitizen

Stars set to play Orlando Pirates, Bafana Bafana

National soccer team, Taifa Stars, will play an international friendly match against Orlando Pirates on Sunday, Tanzania Football Federation (TFF) has revealed.

 

10 years ago

Vijimambo

Nahodha wa Bafana Bafana auawa-BBC

Senzo Meyiwa wakati wa uhai wake
Nahodha ambaye pia ni golikipa wa timu ya soka ya taifa la Afrika kusini Senzo Meyiwa amefariki dunia baada ya kupigwa risasi. Jeshi la polisi la nchi hiyo limesema.

Tukio hilo limeripotiwa kutokea katika nyumba ya mpenzi wake iliyopo katika mji wa Vosloorus kusini mwa Johannesburg.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 aliichezea klabu ya Orlando Pirates na alicheza mechi nne zilizopita za timu yake ya taifa katika mechi za kufuzu za fainali ya mataifa ya...

 

11 years ago

BBC

Bafana criticised by sports minister

South Africa are labelled "a bunch of losers" by the country's sports minister after their exit from the African Nations Championship.

 

9 years ago

TheCitizen

Stars to camp in SA, line up Bafana friendly

Taifa Stars are expected to pitch a training camp in South Africa to fine-tune their skills ahead of the second round of the 2018 World Cup qualifiers against one of Africa’s powerhouses, Algeria.

 

10 years ago

Mwananchi

Ghana kwa Senegal, Algeria v Bafana

Bata, Equatorial Guinea. Ghana itakuwa ikisaka kuendeleza ubabe wake dhidi ya Senegal wakati Algeria wataonyeshana kazi na Afrika Kusini leo katika wa kwanza wa Kundi C.

 

10 years ago

Habarileo

‘Mke’ wa mbunge avamia kikao na mtoto mlemavu

ANAYEDAIWA aliyewahi kuwa mke wa mbunge wa jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM), Hawa Deus, jana alivamia kikao cha Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala akiwa amesindikizwa na kundi la watu ambao mmojawao alikuwa amembeba mtoto wa mbunge huyo mwenye ulemavu, huku wakipiga kelele na kuwaacha wabunge na viongozi wa dini waliokuwepo kupigwa na butwaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani