mtoto wa miaka 5 avamia uwanja wakati brazil wanacheza na bafana bafana sauzi
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo527 Oct
Nahodha na mlinda mlango wa Bafana Bafana Senzo Meyiwa auawa na majambazi
10 years ago
Bongo530 Oct
Utata watawala msiba wa nahodha wa Bafana Bafana, Senzo Meyiwa
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
MCHEZO WA KIRAFIKI: Taifa Stars yafungwa na Bafana Bafana
Kocha wa Taifa Stars, Boniface Mkwasa
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars iliyopo Afrika Kusini kwa kambi ajili ya maandalizi ya mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu kwenda kucheza kombe la dunia nchini Urusi jana imecheza mchezo wa kujipima uwezo na Bafana Bafana chini ya miaka 23.
Katika mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa Eldorado uliopo Johannesburg, ilishuhudiwa Taifa Stars ikipokea kipigo cha goli 2 kwa bila.
Baada ya mchezo huo kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa alizungumza...
9 years ago
TheCitizen04 Nov
Stars set to play Orlando Pirates, Bafana Bafana
10 years ago
Vijimambo27 Oct
Nahodha wa Bafana Bafana auawa-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/10/141010175056_senzo_meyiwa__640x360_carlfouriegalloimages.jpg)
Nahodha ambaye pia ni golikipa wa timu ya soka ya taifa la Afrika kusini Senzo Meyiwa amefariki dunia baada ya kupigwa risasi. Jeshi la polisi la nchi hiyo limesema.
Tukio hilo limeripotiwa kutokea katika nyumba ya mpenzi wake iliyopo katika mji wa Vosloorus kusini mwa Johannesburg.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 aliichezea klabu ya Orlando Pirates na alicheza mechi nne zilizopita za timu yake ya taifa katika mechi za kufuzu za fainali ya mataifa ya...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72397000/jpg/_72397414_southafrica.jpg)
Bafana criticised by sports minister
9 years ago
TheCitizen15 Oct
Stars to camp in SA, line up Bafana friendly
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Ghana kwa Senegal, Algeria v Bafana
10 years ago
Habarileo17 Jan
‘Mke’ wa mbunge avamia kikao na mtoto mlemavu
ANAYEDAIWA aliyewahi kuwa mke wa mbunge wa jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM), Hawa Deus, jana alivamia kikao cha Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala akiwa amesindikizwa na kundi la watu ambao mmojawao alikuwa amembeba mtoto wa mbunge huyo mwenye ulemavu, huku wakipiga kelele na kuwaacha wabunge na viongozi wa dini waliokuwepo kupigwa na butwaa.