MAHAKAMA ZA MWANZO GEITA ZASIKILIZA MASHAURI NDANI YA MIEZI MINNE
![](https://1.bp.blogspot.com/-zRCvoj_13v8/Xt9TSoyvC7I/AAAAAAALtJY/4WfYYItA2509BH9owJ9FSjHjMKExvMoNACLcBGAsYHQ/s72-c/615f8244-f63f-4ccb-ad5c-cfbe46d3e7c7.jpg)
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bukombe, Mhe. Ainawe Moshi , akizungumzia maboresho ya mahakama hiyo.
Jengo la Mahakama ya Wilaya ya Bukombe
********************************
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha – Bukombe
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bukombe, Mhe. Ainawe Moshi amesema kwamba Mahakama za Mwanzo katika Mkoa wa Geita zimejipanga kumaliza mashauri ndani ya kipindi cha miezi minne, licha ya utaratibu uliopangwa wa miezi sita.
...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Utatuzi wa mashauri ya jinai nje ya mahakama — 2
WIKI iliyopita nilieleza lengo la makala hii ni kujifunza mbinu na umuhimu uliopo katika kutatua mashauri ya jinai nje ya mfumo wa mahakama ili kuepuka matatizo niliyokwisha yaainisha hapo juu....
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mahakama kumaliza mashauri ya muda mrefu
MAHAKAMA ya Tanzania iko katika mchakato maalumu wa kumaliza mashauri yote ya muda mrefu Kanda ya Dar es Salaam na Tabora. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Mwananchi06 Apr
HOFU YA MAFURIKO: Mtoto mlemavu afungiwa darini miezi minne Mtwara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XR9DZHhZ-jE/Xru7yjP_hnI/AAAAAAALqCA/FGXMeXay4rkLICysI5jakd43hQHqtx_dgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200512-WA0041-768x576.jpg)
MAHAKAMA KUU MUSOMA YAAKUSIKILIZA MASHAURI KWA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-XR9DZHhZ-jE/Xru7yjP_hnI/AAAAAAALqCA/FGXMeXay4rkLICysI5jakd43hQHqtx_dgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200512-WA0041-768x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200512-WA0039-1024x768.jpg)
Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma Mhe, Zephrine Galeba ya akiendesha shauri kwa njia ya Mahakama Mtandao katika ukumbi wa Mahakama hiyo jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200512-WA0037-1024x768.jpg)
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma, Mhe.Rahim Mushi akisikiliza shauri kwa njia hiyo.
Picha na Francisca Swai –Mahakama Kuu Musoma.
…………………………………………………………
Na. Francisca Swai-...
5 years ago
MichuziMASHAURI 157 YAANZA KUSIKILIZWA NA MAHAKAMA YA RUFANI NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TW86LlOyD8Q/XrIGEaqBVeI/AAAAAAALpRc/RqjqhOhWPL82FV6eRV22UJZKE0IcHyu8QCLcBGAsYHQ/s72-c/g3.jpg)
MIAKA MINNE NA MIEZI NANE YA MAFANIKIO, MBUNGE WA MANONGA SEIF KHAMIS GULAMALI AWASHUKURU WANANCHI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVIKIWA Taifa linaelekea katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba Mwaka huu, mafanikio katika Jimbo la Manonga Wilayani Igunga yameonekana dhahiri na hiyo ni baada ya jitihada zilizofanywa na Mbunge wa Jimbo hilo Seif Khamis Gulamali katika kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) pamoja na kutekeleza ahadi alizoahidi hasa katika sekta ya Elimu na Afya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-TW86LlOyD8Q/XrIGEaqBVeI/AAAAAAALpRc/RqjqhOhWPL82FV6eRV22UJZKE0IcHyu8QCLcBGAsYHQ/s400/g3.jpg)
10 years ago
MichuziMAJAJI WA MAHAKAMA YA TANZANIA WAFUNDWA JUU YA USIKILIZAJI WA MASHAURI YA UCHAGUZI
Hayo yalisemwa katika risala yake iliyosomwa na Mhe. Jaji Edward Rutakangwa, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (T) kwa niaba ya Mhe. Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alipokuwa akifungua rasmi Warsha ya siku mbili (2) ya Uhamasishaji wa Wahe. Majaji juu ya utatuzi wa migogoro ya Uchaguzi “Judges Sensitization...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3SLx6uzifaI/VYKoSqV_7gI/AAAAAAAHg3s/J16PWjut7kE/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
MAHAKAMA YA RUFANI YAKUTANA NA WADAU WAKE KUTOA MAONI JUU YA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SLx6uzifaI/VYKoSqV_7gI/AAAAAAAHg3s/J16PWjut7kE/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iXwZMwhcNXs/VYKoSFLfYdI/AAAAAAAHg3o/1yssgQjpmzU/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)