Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini

Klabu ya Chelsea na kocha wake, Jose Mourinho wamepinga uamuzi wa Chama cha Soka (FA) kumwadhibu kocha huyo kwa kauli alizozitoa karibuni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000

2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025

Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.

2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025

Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.

Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.

Wiki hii...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mdomo wamponza mwanamke Pakistan

Mwanamke mmoja amehukumiwa adhabu ya kifo nchini Pakistan kwa kosa la kufuru.

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli afungiwa mchezo mmoja na faini

Chama cha Soka nchini Uingereza, kimemfungia mchezo mmoja, mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli

 

10 years ago

Mwananchi

Kangezi afungiwa miezi sita, faini Sh200,000

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imemfungia miezi sita kutojihusisha na masuala ya soka na faini ya Sh200,000 mmiliki wa klabu ya African Lyon, Rahim Kangezi kutokana na utovu wa nidhamu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Utovu wa nidhamu wamponza Mourinho

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho ametozwa faini ya £8,000 kwa kosa la utovu wa nidhamu

 

9 years ago

BBCSwahili

FA yamtoza faini Mourinho

Chama cha soka cha England FA, kimempa adhabu Meneja wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho

 

10 years ago

BBCSwahili

Runinga zilizojizima Kenya kupigwa faini

Mamlaka ya mawasiliano nchini Kenya itavipiga faini vituo vya NTV,KTN,Citizen na QTV nchini Kenya kwa kuzima matangazo yao

 

9 years ago

BBCSwahili

Faini ya FA ni fedheha asema Mourinho

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema Faini ya Pauni 50,000 aliyotozwa na chama cha soka cha England (FA) ni fedheha

 

10 years ago

Habarileo

Wanaouza silaha feki kufungwa miaka 5, kupigwa faini mil.10/-

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.MTU yeyote atakayepatikana akiingiza au kuuza silaha za bandia, atahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini isiyozidi Sh milioni 10. Adhabu hiyo imetajwa na Muswada wa Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani