Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini
Klabu ya Chelsea na kocha wake, Jose Mourinho wamepinga uamuzi wa Chama cha Soka (FA) kumwadhibu kocha huyo kwa kauli alizozitoa karibuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Nov
Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000
![2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025-300x194.jpg)
Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.
Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.
Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.
Wiki hii...
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Mdomo wamponza mwanamke Pakistan
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Balotelli afungiwa mchezo mmoja na faini
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kangezi afungiwa miezi sita, faini Sh200,000
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Utovu wa nidhamu wamponza Mourinho
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
FA yamtoza faini Mourinho
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Runinga zilizojizima Kenya kupigwa faini
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Faini ya FA ni fedheha asema Mourinho
10 years ago
Habarileo10 May
Wanaouza silaha feki kufungwa miaka 5, kupigwa faini mil.10/-
MTU yeyote atakayepatikana akiingiza au kuuza silaha za bandia, atahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini isiyozidi Sh milioni 10. Adhabu hiyo imetajwa na Muswada wa Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014.